Kama sio Rwanda basi Uganda ila yeye sio M23 :shocked:
Hahahaaa wanaexchange makazi na Babu Seya au?TAARIFA: Bishanga baada ya kushindwa kulipa madeni yake ya FINCA, alijiingiza kwenyd biznez ya pembe za ndovu, ameswekwa lupango!
BTW kina PAPII KOCHA na mshua wake si wanaachiwa leo?
Mwacheni naye asote kidogo SEGEREA!
Sijawahi kuona Bishanga kufulia hadi kukosa pesa ya bundle...!
Alijifanya bepali la kihaya kujitwika JF Tanzanite Member kumbe pesa ni za mkewe The secretary , wamegombana mke kabana mfuko jamaa kwishney! No Bishanga mapesa tena dadadeeeeki!
Unapewa lift unataka kupiga na honi eboooo! Mjini hapa look very Bishanga
Najitolea kumpa bundle na kumburudisha mkewe wakati huu wa mpito ili walau nikae na mwanangu nilozaa na the secratary !
Copy kwa Chocs Arushaone Mr Rocky watu8 Mamndenyi snowhite Mzee kiwatengu shansarie Avemaria DEMBA Kaizer mwallu Tonykp Filipo sosoliso Paloma amu KakaKiiza Mentor TANMO measkron ladyfurahia Lady doctor Heaven on Earth marejesho sweetlady Arabela Mwanyasi KOKUTONA Dena Amsi stevoh Slave Evelyn Salt Smile Dark City mimi49 charminglady beibe nasty Judgement YNNAH SnowBall Husninyo Kongosho BAK 24hrs Passion Lady Ruttashobolwa Madame B Baba V Mtoto halali na hela @liverpoolfc tinna cute @king'asti
Hahahaaa
Kama mlikuwa wote mapesa yake msaidieni kuficha dhahama!
Kwani anatokea nchi gani huyu?
Hureeeee ila hapo lazma atahofia kutumikishwa kunako sita kwa sitaMpe pole aisee huyo mtu maana muulize anahitaji kiasi gani cha mapeeeee maana mimi sina mahali pakuziweka fanya hivyo