Hatimaye Angela Kairuki ataja muda wa ajira za walimu wa Sayansi

Abuwhythum

JF-Expert Member
Jan 7, 2015
837
494


Waziri Kairuki aliwataka Watendaji Wakuu kuweka mikakati ya kuepuka watumishi hewa na kusimamia kwa dhati kwasababu jambo hilo limeumiza na kupoteza rasilimalifedha nyingi za Serikali.

Alisema anatambua kuna Wakala zenye upungufu wa Watumishi hivyo zinaingia gharama kubwa za kuajiri wafanyakazi wa mikataba, hata hivyo alielekeza kila Mtendaji Mkuu ajiridhishe kwa kuandaa taarifa ya mahitaji halisi ya Watumishi.
 
Ucjal mwalimu ajira mwez wa pil zinatoka ila kwa wale waliohakikiwa vyeti vyao na huakiki mwingine utafwata mwez wa sita na ajira mwez wa saba shule zitakapofunguliwa...nawasilisha wapendwa
 
Ucjal mwalimu ajira mwez wa pil zinatoka ila kwa wale waliohakikiwa vyeti vyao na huakiki mwingine utafwata mwez wa sita na ajira mwez wa saba shule zitakapofunguliwa...nawasilisha wapendwa
Labda zitoke mwezi wa pili na kuwasili vituoni iwe mwezi wa saba, maana hapa kwetu hakishindikani kitu.
 
Wale walimu wa sayansi na hesabu waliokosea kutuma vivuli vya vyeti vyao majibu yao nao yatatoka lini msaada plz kuna mtu anaomba niwasilishe jukwaani hapa angalau apate kamwanga kutoka kitaa hapa,lugha chafu hapana....!
 
Majina yaliyotolewa katika awamu ya kwanza yalikuwa 2,049.

Jana Kairuki anasema hadi jana (izingatiwe muda uliotolewa hadi 17/01/2017 tayari umeisha.) anadai waliyoomba ni 2,100 kati ya 8,000 waliotegemea waombe.

Ina maana waliorudia kutuma bado walipatia watu 51 tu?

Usishangae ukaambiwa kwa kuwa idadi imekuwa ndogo tofauti na malengo yao, basi pia waliomaliza 2016 watume vyeti vyao kwa uhakiki. Litakuwa ni jambo zuri sema hilo zoezi nalo litachukua miezi hata minne, ilhaali taarifa zote wanazo wala hakuna haja ya kutuma vyeti.

Kweli hili zoezi lina lengo ambalo mimi na wewe hatulijui!
 
lengo ni kuvuta muda maana kairuki amesema hadi sasa walio omba ni 2100 ivyo wasubiri march pia usishangae kama hata ongeza tena
 
Majina yaliyotolewa katika awamu ya kwanza yalikuwa 2,049.

Jana Kairuki anasema hadi jana (izingatiwe muda uliotolewa hadi 17/01/2017 tayari umeisha.) anadai waliyoomba ni 2,100 kati ya 8,000 waliotegemea waombe.

Ina maana waliorudia kutuma bado walipatia watu 51 tu?

Usishangae ukaambiwa kwa kuwa idadi imekuwa ndogo tofauti na malengo yao, basi pia waliomaliza 2016 watume vyeti vyao kwa uhakiki. Litakuwa ni jambo zuri sema hilo zoezi nalo litachukua miezi hata minne, ilhaali taarifa zote wanazo wala hakuna haja ya kutuma vyeti.

Kweli hili zoezi lina lengo ambalo mimi na wewe hatulijui!
Acha tu mjomba hi awamu ya5 ni ya aina yake
 
Back
Top Bottom