Abuwhythum
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 837
- 494
- Thread starter
- #101
Ikifika J2, 26/02/2017 kwa ukimya huu huu, ujue hamna lolote tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe huiamini serikali yako iliyotamka tena mbele ya Bunge kuwa ajira ni Marchusiwaze tena haya mambo futa kwamba huenda hakunaga ajira sasa
Naona huruma sana ila one day yes....!nilishachoka
Uzuri siku hazigandi zinaenda tu. Tutafika hatimaye na tutafanya tathmini yamaana daktari kusubiri ajira n wendawazimu wataajiri hewa tu watu wanakula maisha wabaki na ajira zao
Kesho asubuhi! Mimi na wewe tunahitajika central!tuna viongozi watenda maovu. hasa magu anayewatuma wa chini yake kutenda dhambi
nani kasema, au Bashite Sifuri kanitangaza kwenye runingaKesho asubuhi! Mimi na wewe tunahitajika central!