SIKAUKA MHAPA
JF-Expert Member
- Jun 11, 2012
- 247
- 42
Mdau tu wa kitaa, anadai kuna mkubwa kamtonya, dah Tanzania yangu unaelekea wap?
usidhani kila mwarabu ni muislam au kila mzungu ni tajiri. hizo ni propaganda tu kukutisha ili kwenye usaili uwe mpweke ujisikie kama unapoteza muda wako tu. puuzia habari za kitaani songa mbele uwe na angalau imani kidogo.
ukitaka ushauri wangu chukua utaki basi. kazi ni kwako