Si alisema show hapigi kwasababu ya marehemu, ila nadhani wikiendi hiyo hiyo alikuwa anapiga harusini au?
Alikosa kuuza alipoongeza hao wengine ndio tiketi zinbauza, sasa ni kwamba sio yeye anaeuza ni hao wanaume etc ndio wanauza kwahiyo show si ya yeye kama ilivyokuwa mwanzo ni ya wote sababu wanakuja kupiga nyimba zao zote wanazotaka.
Poleni team jide,