Hatimae Jide kimeeleweka

"Redio imejaa mashoga watangazaji wanaliwa kama mboga ninapokuwa na jambo huwa mimi sifichi rugay bonge la snitch eti anaanzisha chama wakati yeye ndio chanzo cha mziki kukwawa"-sugu

hata huyo uliyemkoti ndo hao hao mkuu...asikupe shida huyo anatetea wenzake...
 
Mwana fa atajilaumu for the rest of his life,kwa huu upuuzi alioufanya yaani kama vile alikurupuka hakufanya feasibility study kujua consequence ya hii kitu,kwa namna moja ama nyngne amepoteza wapenzi ambao walikuwa wanamuunga mkono mmojawapo nikiwepo mimi.
 
Ninakerwa sana ninapoona watu wananyanyaswa,eti kwasababu kuna watu wanauwezo,naona sisi wengine wa Mikoani Dua zetu zinaanza kuzaa matunda.kila laheri COMANDO.
 
Si alisema show hapigi kwasababu ya marehemu, ila nadhani wikiendi hiyo hiyo alikuwa anapiga harusini au?

Alikosa kuuza alipoongeza hao wengine ndio tiketi zinbauza, sasa ni kwamba sio yeye anaeuza ni hao wanaume etc ndio wanauza kwahiyo show si ya yeye kama ilivyokuwa mwanzo ni ya wote sababu wanakuja kupiga nyimba zao zote wanazotaka.

Poleni team jide,

Kagongwe...
 
Ile show ya Jide ambayo itatawaliwa na anaconda style sasa kimeeleweka baada ya prof J na Juma Nature kuthibitisha kwamba watamuunga mkono na kupiga nyimbo zao zote ambazo mashabiki wataomba wapigiwe.

Vilevile tiketi zimeongezwa nyingine baada ya zile za kwanza kuisha. vilevile show itapigiwa pale parking baadala ya ndani ambapo pameonekana ni padogo kulingana na tiketi zilizo katwa.

Nakutakia mafanikio mema Jide. mia

copy iende kwa Nas daz
 
Last edited by a moderator:
kamanda sugu aka kinega mkuu nae atakuwepo kumpa shavu jay dee. Nimemsikia jana kwenye maskani ya times fm akijitangaza. Hamza kalala nae ndani

mkuu umeongea kweli, baada ya kuona show itapendeza baadhi ya wasanii wanaomba kushiriki lakini imeonekana muda wa kupata jukwaani hautatosha labda wafanye siku mbili. mia
 
Back
Top Bottom