Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 2,786
- 7,567
Wakuu,
Mei 5 Serikali ya Tanzania ilisaini hati 3 za makubaliano na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa mpigo;
1. Rais Samia na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Abdullah Bin Zayed Al Nahyan, wakishuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano baina ya Wizara ya Afya na Wizara ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuhusu uwezeshaji wa ujenzi wa Hospitali ya The Emirates – Tanzania Bukoba mkoani Kagera.
2. Rais Samia na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Abdullah Bin Zayed Al Nahyan, wakishuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuhusu ushirikiano katika uwekezaji kwenye sekta ya madini.
3. Rais Samia na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Mhe. Abdullah Bin Zayed Al Nahyan, wakishuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano baina ya Shirikisho la Vyama vya Biashara na Viwanda vya UAE na Barazala la Taifa la Biashara kuhusu uanzishwaji wa Baraza la Pamoja la Biashara kati ya Umoja wa Falme za Kiarabu na Tanzania.
Tanzania tunatoa nini huko ya pazia? Hati tatu back to back? Sasa hivi tunaenda kwa spidi kweli kwa Waraabu, ndio tunaondoka kwa Wachina, Ulaya na Wamerekani? Maana kwa Wamarekani Trump kachomoa betri, kwa Ulaya mama kashaharibu na Lissu na kuchamba juu, kwa Wachina ndio hawa wameanza hadi kuchukua biashara za machinga nao tumewakaba kooni, sasa Mwarabu ndio dona katri mpya?
Mei 5 Serikali ya Tanzania ilisaini hati 3 za makubaliano na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa mpigo;
1. Rais Samia na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Abdullah Bin Zayed Al Nahyan, wakishuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano baina ya Wizara ya Afya na Wizara ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuhusu uwezeshaji wa ujenzi wa Hospitali ya The Emirates – Tanzania Bukoba mkoani Kagera.
2. Rais Samia na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Abdullah Bin Zayed Al Nahyan, wakishuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuhusu ushirikiano katika uwekezaji kwenye sekta ya madini.
3. Rais Samia na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Mhe. Abdullah Bin Zayed Al Nahyan, wakishuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano baina ya Shirikisho la Vyama vya Biashara na Viwanda vya UAE na Barazala la Taifa la Biashara kuhusu uanzishwaji wa Baraza la Pamoja la Biashara kati ya Umoja wa Falme za Kiarabu na Tanzania.
Tanzania tunatoa nini huko ya pazia? Hati tatu back to back? Sasa hivi tunaenda kwa spidi kweli kwa Waraabu, ndio tunaondoka kwa Wachina, Ulaya na Wamerekani? Maana kwa Wamarekani Trump kachomoa betri, kwa Ulaya mama kashaharibu na Lissu na kuchamba juu, kwa Wachina ndio hawa wameanza hadi kuchukua biashara za machinga nao tumewakaba kooni, sasa Mwarabu ndio dona katri mpya?