Hoja ya msingi ni kwamba watu wapo judgemental na ndo nilichoongea. Mmeshindwa ku read between the lines mkaanza personal attacks na mimi nikatoka nje ya mada kujibu mashambulizi. Na nina ushahidi wa nilichokuwa naongea. Tuanze analysis ya baadhi ya hizo post zilizochangia.
Huyu anaamini wanofanya hivi ni mambumbumbu. Je ni kut gani kinamfanya awaone hao mabumbumbu?(Being judgemental and thinking that your way of thinking is better than others)
Huyu amechangia kama yupo sober lakini bado amewajudge watu
Huyu anaamini hawajielewi ndo maana wanafanya hivyo. Kwa hiyo she is being judgemental too
Kwa hiyo umeshaona kwamba wote wanaofanya tofauti na huu msimamo wanakosea. Being judgemental:becky::becky:
Being judgemental. Anajau what is good kwa mtoto ambaye si wake wakati consent ya mtoto before hajafikisha 18 ni ya mzazi
Huyu anaamini wanaofanya hivi hawana akili. Being Judgemental. Naye anadhani kwamba anajua what is best kwa mtoto wa mwingine. :becky:
Amekuunga mkono lakini kitu kimoja ambacho amekosa uelewa ni kwamba Mzazi ndo mwenye consent ya mtoto before hajafika 18. Kwanini wazazi huwatahiri vivhanga? je ni kwa ridha yaoo? Kwanini wazai huwatoboa masikio watoto? Je watoto wanakuwa wameridhia? Anything below miaka 18 kwa mtoto as longer as mzazi havunji sheria then yeye ndo mwenye consent.
Nimependa uchangiaji wa huyu mtu. Amechangia kisomi na yupo open minded. Hakuwa subjective katika view yake. Big up mkubwa:becky:
Another narrow-minded individual who believes that waliachagua kufanya hivyo niwapumbavu na ni maskini wa fikra ila yeye ndo ana akili zaidi. Being judgemental.
Hiki unachosema ni kweli lakini ameshindwa kutoa context ya hiki kitu. In short huruhusiwi kupost picha ya mtoto amabaye sio wako ndo logic behind hii. Lakini haina generalization kwa mtoto ambaye ni wako. Wa kwako ruksa. Nimeongezea tu nyama kuondoa watu wanapotosha wengine. Namaanisha baadhi ya watu.
Huyu msimamo wake ulikuwa ni kutokubalina na maoni ya muanzisha maada. Lakini alipoona tu ni mimi nimepost ile comment ya kuhusu kuwa judgemntal akarukia haraka kuni attack personally. kwa comment hii hapachini
Sababu za kuni provoke anazijua:becky: Kisa ni ka thread tu ka siku za nyuma ngoja niwawekee link hapa
https://www.jamiiforums.com/mahusia...wanaume-walioajiriwa-kuliko-waliojiajiri.html. Kwanina alinichagua mimi tu??:becky::becky:
Huyu naye Anawaona wanaofanya hivi ni malimbukeni. Being judgemental.
Sasa narudi kwako mzee mzima bwana Daudi. Umesema mtoto wa chini ya miaka 18 haruhusiwi kuwa na account ya facebook kujustify your argument lakini umeshindwa kutoa context yote kwa lengo la kupotosha watu. Umeshindwa kuelezea kwamba any child who is below 18 hana legal mandate ya kutoa consent na consent yake inamilikiwa na mzazi. Na umetumia hii kujustify opinion yako ambayo as if it the right one. Lakini my conclusion ni kwamba argurment yako ipo zaidi personal opinion lakini unataka iwe ndo rule of the thumb kitu ambacho ni wrong.:becky:
Haya Great thinker!!