Mashaxizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 6,707
- 3,360
hujamuelewa mtoa mada..!
yakija kukukuta ndo utaelewa anamaanisha nini..!
Usiogope. ukizingatia mtoto mwenyewe sina.
Ni lazima ukutambue si kila anaetupiaga picha za mwanae yuko wrongi.
Na hata tukija ktk uhalisia ni kwamba wanaotupia picha za watoto wao ni wengi sana isitoshe hasara za kufanyq hivyo ni chache.
Embu nikuulize.
Jaalia mimi niko mbali nq wife. afu ndo kajifungua. kutakua na ubaya gani akinitupia picha za chibebi kwa inbox ya mtandao nnaotumia?
UKUMBUKE Daudi 1 ame generalize kwamba haifai koz mitandao itahifadhi picha hizo.
Cc: Daudi 1.