Hatari za kuweka picha za mtoto mtandaoni

Hatari za kuweka picha za mtoto mtandaoni

Hapo sikubaliani napo.

Sipendagi kuapdet status za madogo kwa public.

na sikubaliani na wasaka comment za fb kiasi cha kuapdet kila hatua ya mtoto.

hope tumeshaelewana.
Ni vema mkuu, haka kamtindo ndo kameshamiri sana siku hizi wengine wanatumia kama kinga anapost pumba unashindwa kumtamua kwa kuwa ametumia picha ya mwanae
 
Wangu nitamuweka akija..potelea mbali na anishitaki akikua.

Hakuna kitu kama hicho...hata marafiki zangu wa dunia ya kwanza wamejaza picha za watoto zao facebook...
Ambacho akiruhusiwi ni ku post picha za watoto wa watu...ile umetembelea sijui shule ya mwanao afu upige picha uweke facebook....ukikutana na wazazi hamnazo watakufilisi aisee ...

Otherwise kwa nini nimfiche mwanagu/wanangu...they are my PRIDE
 
Mimi na rafiki yangu yupo Marekani * kwenye taasisi ya Elimu lakn mpaka sasa ameshindwa kutupostia picha za wanafunzi wake jinsi wanavyosoma

Hiyo sawa ni marufuku...nimesoma Japan those days na tuliwai tembelea nursery moja tukaambiwa pigeni tu picha na hao watoto lakini please msiziweke kwenye social media...mtashitakiwa...

Hata mimi sitapenda nikute picha ya mwanangu mtandaoni imewekwa na mtu ambaye sijampa authority ya kufanya hivyo...maana huwezi jua anazitumia vipi zaidi ya hapo...
 
Wangu nitamuweka akija..potelea mbali na anishitaki akikua.
wa kibongo itakuwa ngumu kukushitak ila atapokuja kupata shida yoyte ikihusisha uwekaji picha wake utakuja kuomba mfuto wa kufutia haya uliyosema hapa
 
Hiyo sawa ni marufuku...nimesoma Japan those days na tuliwai tembelea nursery moja tukaambiwa pigeni tu picha na hao watoto lakini please msiziweke kwenye social media...mtashitakiwa...

Hata mimi sitapenda nikute picha ya mwanangu mtandaoni imewekwa na mtu ambaye sijampa authority ya kufanya hivyo...maana huwezi jua anazitumia vipi zaidi ya hapo...
Kumbe wewe kwanini uweke wako? hakuna mzazi ambaye hafurahii kupata mtoto siku hizi kuna mambo ya kuptea kwa watoto kesi zinazidi kuongezeka hivi huwez kufikiria kama hili linaweza kuchangia? kuna mtu hapa kasema akitaka kujua fulani kama anamtoto anagoogle tu anajua je akijua anafanyia nini?
 
Hauja nishawishi bado juu ya hayo madhara...labda kama unaweka picha za utupu za mtoto...
Otherwise any proud mother or father lazima apende ku show of their 'min me'
Siku ukiyapata utashawishika, maana wengine ni tomaso mpaka mshuhudie ndo mnaamini
 
Mkuu watu wamegeuza mitandao ya jamii kama album ya kuhifadhi picha zao.

utafanyaje,siku hizi mitandao ndo njia pekee usipoteze picha au document kuliko computer au kabati.

la msingi uweke album au document kwenye website ambayo haitavujisha na umeweka privancy,nimeformat computer mara kibao,nimeibiwa documents nilizoandaa hata zaidi ya mwaka zikiwa kwenye external hard disc,uzuri niliziupload on net na kuset asione hata mmoja,leo pics zangu za 2006 zipo zaidi 300,ningezipata wapi?in other way kuna faida ya kuweka document mtandaoni ila si kuweka watu waone
 
Kumbe wewe kwanini uweke wako? hakuna mzazi ambaye hafurahii kupata mtoto siku hizi kuna mambo ya kuptea kwa watoto kesi zinazidi kuongezeka hivi huwez kufikiria kama hili linaweza kuchangia? kuna mtu hapa kasema akitaka kujua fulani kama anamtoto anagoogle tu anajua je akijua anafanyia nini?

SO far hujatoa sababu za mimi kuona vibaya ku share picha za watoto wangu...
Sasa mtu aki google kama nina watoto inanihathiri vipi mimi..?
Tunarudi kule kule...kuwa na watoto ni siri,aibu, au dhambi?
Mimi nasema labda hao wenye watoto wa ujanani...mimi niko proud na watoto wangu kuliko hata elimu nilonayo au achievement yoyote ile maishani mwangu...!!!!

Tuna differ aisee....

Otherwise kama mtu unapenda kuwa that private usingekuwepo kwenye social media at first place...
 
Yani watoto wanaopotea wote ni sababu wazazi wao waliweka picha zao kwenye social media..
Rama mla vichwa alikuwa na account facebook?
Bado sijaona risk yoyote so far...

Mitandano ni hatari kwa watoto wakubwa teenagers...lakini my min me eti nikimweka picha yake kwenye mtandao ni hatari...kivipi?

Kumbe wewe kwanini uweke wako? hakuna mzazi ambaye hafurahii kupata mtoto siku hizi kuna mambo ya kuptea kwa watoto kesi zinazidi kuongezeka hivi huwez kufikiria kama hili linaweza kuchangia? kuna mtu hapa kasema akitaka kujua fulani kama anamtoto anagoogle tu anajua je akijua anafanyia nini?
 
SO far hujatoa sababu za mimi kuona vibaya ku share picha za watoto wangu...
Sasa mtu aki google kama nina watoto inanihathiri vipi mimi..?
Tunarudi kule kule...kuwa na watoto ni siri,aibu, au dhambi?
Mimi nasema labda hao wenye watoto wa ujanani...mimi niko proud na watoto wangu kuliko hata elimu nilonayo au achievement yoyote ile maishani mwangu...!!!!

Tuna differ aisee....

Otherwise kama mtu unapenda kuwa that private usingekuwepo kwenye social media at first place...

hi video ya juzi ya house girl wa huko uganda isingewekwa mtandao hiyo ishu isingekuwa na uzito,leo watu wametambua mpaka wapo makini na ma-housegirl,ila ishu imekuwa hot kwa ajili ya kusambaa
 
Tena mimi huwa ni opposite...
Nawafikiria vibaya wanaoficha watoto wao...
Ndio hao wanaolewa wakisema hawana watoto kumbe wamewaficha...
Kwa nini uone haya kushare picha ya mtoto wako na marafiki zako...
FB is for close friends...na wala si site ya kiofisi...ma proffesionals tunakutana linkedin...kule hakuna family photos
 
hi video ya juzi ya house girl wa huko uganda isingewekwa mtandao hiyo ishu isingekuwa na uzito,leo watu wametambua mpaka wapo makini na ma-housegirl,ila ishu imekuwa hot kwa ajili ya kusambaa

Umeona eeehhh

Na nasikia team ya wataalamu wamejitolea kumfanyia uchunguzi wa kina huyu mtoto...kuona kama yuko okay...

Kwa uwazi wao wamesaidia wazazi wengine kufikiria kununua Nanny cam

Na habari imekuwa gumzo mpaka blogs za Nigeria...
 
Yani watoto wanaopotea wote ni sababu wazazi wao waliweka picha zao kwenye social media..
Rama mla vichwa alikuwa na account facebook?
Bado sijaona risk yoyote so far...

Mitandano ni hatari kwa watoto wakubwa teenagers...lakini my min me eti nikimweka picha yake kwenye mtandao ni hatari...kivipi?
Wala sijamaanisha hivyo, kuna watu wanaweka profile picha ya wanao halafu mambo wanayopost ni aibu huko ni kumdharirisha mtoto kwanini wasiweke zao ili mtu akipost pumba unamuona sura yake, haya achana na hayo yaliyoniboa zaidi ni hawa watu wazima walikuwa wanatukanana kwenye viblog vyao matusi yameisha wamehamia kwenye familia zao moja kwa moja kwa watoto mtu umekaa na mimba ukalea miezi tisa then mwanao wanamuita baboon kweli lakin hayo yanatokana na kutumia na kupost picha za watoto sijui kwa mtazamo wangu ninaliona hivyo na hayo ndo madhara ninayoongelea yakiwemo na hayo ya kupotea na kuibiwa yanaweza kwa asilimia fulani yanasababishwa na haya mambo, ni mtizamo tu kutofautiana ruksa.
 
Umeona eeehhh

Na nasikia team ya wataalamu wamejitolea kumfanyia uchunguzi wa kina huyu mtoto...kuona kama yuko okay...

Kwa uwazi wao wamesaidia wazazi wengine kufikiria kununua Nanny cam

Na habari imekuwa gumzo mpaka blogs za Nigeria...

Mimi mama yangu alinipiga picha nikiwa natambaa,picha ndo hiyo moja ,nilipokuwa mkubwa niliiba maana asingenipa,ikapotea hamna tena kumbukumbu,kungekuwa na mitandao ya kuupload enzi hizo Leo ningekuwa na picha hata 100,usiamini kabisa kuwa ukihifadhi kabatini unalinda privacy bali kupoteza kumbukumbu
 
Back
Top Bottom