Hatari za kuweka picha za mtoto mtandaoni

Hatari za kuweka picha za mtoto mtandaoni

Naweza kukubaliana na wewe kwa namna moja. On the other hand, nadhani waswahili wana msemo wao unasema "Moyo wa mtu kichaka"
Mawazo yaliyoujaza moyo wako ndio uhalisia halisi wa maisha yako na mwenendo wako ambavyo kwa ujumla unajenga tabia yako ya kila siku. Mi sidhani kama kuna tatizo sana especially unapotumia picha ya mtoto ambayo iko sawa bila matatizo yoyote kwa ajili ya social media. Tatizo kubwa nnaloliona apart from the danger uliyoianisha hapo juu ya uhalifu na kadhalika, ni jinsi mahusiano yetu sisi kwa sisi yalivyoharibika. Ukifikia stage ya kumtukania mtu watoto wake au anyone close to him/her badala ya kufocus na uliegombana nae, nadhani hata akili yako ya kawaid atunaweza kui question kama inafanya kazi sawa sawa.
Waungwana wanaepusha balaa na magomvi ila mara nyingi wapumbavu ndio wanaoyaendeleza. Hili liko wazi hata katika vitabu vya dini. Jamii yetu imeshakengeuka na kwa kiasi kikubwa imechangiwa na wapumbavu wachache kwenye hizi social media kuwa corrupt wengine walio waungwana.
Mi nadhani huu ndio mtazamo wangu.
 
Mkuu umetia elimu Nzuri sana ingawa wapo ambao hawata elewa mimi hiyo marufuku uzuri hata mke wangu afagilii huu upuuzi yaaani kuoitia mtandao unafahamu maisha ya mtu yote kwa kuangalia profile yao yaani huwa mpaka nawaonea huruma ila ni upuuzi tuu na ugeni wa kufahamu wakizoea wataaacha ingawa wagumu wa kuelewa wapo tuu eti leo nimepata beby girl,on my way to dar,thanks God for this house,RIP my dady,another beby boy hapo anampigia picha wodini hata hajamwombea yaani wanaboa mno hebu muelewe tuuu ptuuuuuuuuuuuuu.
 
Kuna post moja humu iko jukwaa la habari mchanganyiko yule dada anauza nguo za ndani vyupi vya wanawake na ana blog yake sijui anaitwa nani nimemsahau walikuwa wanatukanana na mwenzake yeye kamtukania mtoto wake na kumuita baboon unafikir mtoto alijisikiaje? hata kama ni mkubwa kiumri hii mitandaoo, wengine wanafua group la family wasapu ili wadiscus mambo ya familia mwisho wake ni umbea na usengenyaji hii mitandao imekuja kubomoa familia

Umenikumbusha hapo kwenye group ya whatsapp, tulikua nalo la familia. Mwisho wake watu hawaongeleshani vita mtindo mmoja
 
Naweza kukubaliana na wewe kwa namna moja. On the other hand, nadhani waswahili wana msemo wao unasema "Moyo wa mtu kichaka"
Mawazo yaliyoujaza moyo wako ndio uhalisia halisi wa maisha yako na mwenendo wako ambavyo kwa ujumla unajenga tabia yako ya kila siku. Mi sidhani kama kuna tatizo sana especially unapotumia picha ya mtoto ambayo iko sawa bila matatizo yoyote kwa ajili ya social media. Tatizo kubwa nnaloliona apart from the danger uliyoianisha hapo juu ya uhalifu na kadhalika, ni jinsi mahusiano yetu sisi kwa sisi yalivyoharibika. Ukifikia stage ya kumtukania mtu watoto wake au anyone close to him/her badala ya kufocus na uliegombana nae, nadhani hata akili yako ya kawaid atunaweza kui question kama inafanya kazi sawa sawa.
Waungwana wanaepusha balaa na magomvi ila mara nyingi wapumbavu ndio wanaoyaendeleza. Hili liko wazi hata katika vitabu vya dini. Jamii yetu imeshakengeuka na kwa kiasi kikubwa imechangiwa na wapumbavu wachache kwenye hizi social media kuwa corrupt wengine walio waungwana.
Mi nadhani huu ndio mtazamo wangu.
Ni kweli mkuu unayoyasema watu wamekengeuka hawana ubinadamu tena wa awali
 
Umenikumbusha hapo kwenye group ya whatsapp, tulikua nalo la familia. Mwisho wake watu hawaongeleshani vita mtindo mmoja
Lazma muishie kugombana njia nzuri ya kutngeneza familia na kusoe matatizo ya familia ni kupitia vikao vya familia sio mitandao sasa watu hivyo vikao wamehamishia huko
 
Mkuu umetia elimu Nzuri sana ingawa wapo ambao hawata elewa mimi hiyo marufuku uzuri hata mke wangu afagilii huu upuuzi yaaani kuoitia mtandao unafahamu maisha ya mtu yote kwa kuangalia profile yao yaani huwa mpaka nawaonea huruma ila ni upuuzi tuu na ugeni wa kufahamu wakizoea wataaacha ingawa wagumu wa kuelewa wapo tuu eti leo nimepata beby girl,on my way to dar,thanks God for this house,RIP my dady,another beby boy hapo anampigia picha wodini hata hajamwombea yaani wanaboa mno hebu muelewe tuuu ptuuuuuuuuuuuuu.
Sidhani kama wameelewa wamefika mbali watu wamepata ajali baada ya kutoa msaada kuokoa maisha wanaanza kuwafotoa picha majeruhi ili wawe wa kwanza kupost kwenye wall zao sijui hiyo inafaida gani?
 
Back
Top Bottom