masanjasb
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 2,364
- 864
Nakubaliana na wewe kwa asilimia miamoja, kwani watu wengine wamejaa hofu ambayo haina msingi. Hayo ni maamuzi ya Kamati Kuu, ni maamuzi ya watu wengi na ambao wameaminiwa na wanachama wa CDM kwahiyo sidhani kama kunatatizo lolote.
Ndugu yangu hawa watu nashindwa kuwaelewa watoa wapi uoga huu?
Ni kweli zito ni nguzo muhimu sana ndani cdm ila pia anahitaji kuheshimu maamuzi ya chama.
kama mwalimu nyerere alitufikisha hapa tulipo "what did we give him in return"Ni heshima iliyotukuka japo hakuiomba leo iwaje zitto apigiwe magoti kisa kaisimamisha cdm?
Michezo ya ccm michafu sana ndiyo maana nchi yetu hasongi mbele sababu ya kutumia fedha za nchi kukandamiza fikra za watu na kuwatumia baadhi ya viongozi wa upinzani kuharibu vyama vyao i real hate this system