Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,256
Sawa kabisa mkuu, hapo ni mto Kilombero, na hicho kivuko ni kile cha zamani.mto kilombero huu , hapa kucheka ndani ya kivuko kitazama , nyote maco mbelee, na kelee marufuku
sawa kabisa mkuu, hapo ni mto kilombero, na hicho kivuko ni kile cha zamani.
Kilikuwa hatari sana na kama bado kipo sipandi.
View attachment 51906Kwa wale ma-Vasco Dagama kama mimi, nilipanda hili feri roho juu(linachota maji badala ya ku-glide)
Wapi hapa?