Hataki kunipa 'Mzigo' nataka nimuache

Hataki kunipa 'Mzigo' nataka nimuache

Labda anaogopa mimba na kuachawa sigle Mather,mwambie utatumia ndomu.
Kuhusu hayo yote alishawahi kuniambia, na kuhusu kumla kavu alikataa nikamwambia tutatumia kondom lakini alijibu kuwa kondom zina madhara kwa yeye hawezi kutumia,, nikamtoa hofu kwamba kama labda anawasiwasi kuhusu afya yangu twende tukapime HIV.

Lakini nalo alilitolea nje nakusema kuwa yeye hapendi kuchomwa sindano kwahiyo maana yake hawezi kwenda kupima.

Majibu hayo huwa nayafikiria nahisi huyu hanipendi.
 
Kuhusu hayo yote alishawahi kuniambia, na kuhusu kumla kavu alikataa nikamwambia tutatumia kondom lakini alijibu kuwa kondom zina madhara kwa yeye hawezi kutumia,, nikamtoa hofu kwamba kama labda anawasiwasi kuhusu afya yangu twende tukapime HIV.

Lakini nalo alilitolea nje nakusema kuwa yeye hapendi kuchomwa sindano kwahiyo maana yake hawezi kwenda kupima.

Majibu hayo huwa nayafikiria nahisi huyu hanipendi.
Lazima atakuwa mtu wa kusini huyo!
 
So ukishamlala mtoto wa Watu ndo utaacha kuchafua Pensi na ndoto zako nyevunyevu hizo?
Acha Upuuzi wa kupenda Ngono.. uta hatarisha Maisha yake ama yako..
Jaman Hawa Vijana wakike tuwaache Kama walivyo! Sio lazima kufanya Ngono, narudia Tena sio lazima mfunuane..
 
Daah sjui unakwama wapi broo au approach yako ni mbovu ?


Kuna mwamba anakula pembeni hapo demu sio bikira na akubanie kashakufanya taira
Na mimi sijui anamaana gani, maana akili zao huwa wanazijua wenyewe.
 
So ukishamlala mtoto wa Watu ndo utaacha kuchafua Pensi na ndoto zako nyevunyevu hizo?
Acha Upuuzi wa kupenda Ngono.. uta hatarisha Maisha yake ama yako..
Jaman Hawa Vijana wakike tuwaache Kama walivyo! Sio lazima kufanya Ngono, narudia Tena sio lazima mfunuane..
🙄
 
Kilichopo inabidi umtangazie Ndoa huenda akakuelewa labda anaona unampotezea muda wake.
 
Wakuu habari za ijumaa hii njema, mu wazima wote natumaini.

Nina mpenzi ambae nipo nae muda mrefu sana kwenye mahusiano, kwa sasa mimi nimechoka kuvumilia ahadi za uongo kama mwanaume ,tumekaa nae bila hata tendo la ndoa, maana amekuwa akikwepa nikimwambia kuhusu swala la kufanya mapenzi,wakati yeye akitaka vitu vyangu nimpe.

Kuna kipindi alinitamkia tuachane eti kisa mi simjali na baada yakuwa namsumbua kuhusu kunipa papuchi,na akanambia nikatafute wakufanya nae mapenzi ila si yeye.

Mwanaume nikamwambia isiwe noma kila mtu aendelee na life lake lakini baada ya siku kadhaa katuma mtu kwa ajili ya kuomba msamaha nimsamehe kwa yale maneno aliyotamka.

Kwa ufupi tu mpaka sasa sioni mwelekeo wowote kuhusiana na mapenzi yetu imekuwa mwendo wa kupigana tarehe tu.
Simwelewi au kuna jamaa linajilia mdogomdogo halafu mi nimekuwa wa kupangwa.

Nataka kutoa maamzi mbele yake kabisa ajue kuwa mi nijembe japo sijaona lango la mpinzani wangu.

Kama nikumvumilia nimefanya mi mwenzenu ndoto nyevu zinanitesa kila mara kuchafua pensi.

Ushauri wenu mabahari na wakuu wote kijana wenu nisije kuwa napoteza muda kumbe tunda wanavuna wahuni ambao hata hawana muda nae.

Bin Shaib Classic 2020.

Unaita tendo la ndoa na hujamuoa. You are not serious.
 
Mkuu nimesoma tu Title yako,kifupi ni kwamba hebu jitaidi basi umuoe ndo utafute huo sijui ndo mzigo kwanza unakosa adabu utaitaje viungo vya uzazi mzigo?

Uasherati ndo mlishaonaga dili sana, nakushauri achana nae kama huna Mpango wa Kumuoa na ukipata mwingine basi muoe ili upate huo mzigo.

pujo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom