Petroli - Bei soko la dunia ni Sh1,375 kwa lita. Gharama ya uagizaji ni Sh.89 kwa lita. Hivyo, gharama mafuta kufika bandari ya DSM ni sh. 1,464. Lakini lita 1 petroli tunanunua sh. 3,600 vituo vya mafuta. Mteja analipa sh. 2,136 tozo za serikali. Tozo ni zaidi ya nusu ya bei ya bidhaa!
Bila shaka umo kwenye kamati ya "kupandisha bei" ama ni mjumbe wao na wamekutuma kwenye social medias uposti hii kitu kuwaandaa watu kisaokolojia kupokea bei mpya kesho ya TZS 4,000, au siyo..?
Bila shaka umo kwenye kamati ya "kupandisha bei" ama ni mjumbe wao na wamekutuma kwenye social medias uposti hii kitu kuwaandaa watu kisaokolojia kupokea bei mpya kesho ya TZS 4,000, au siyo..?