kamili
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 1,213
- 849
Hivi hakuna hatua za kuchukua? Maana lile tukio linakera kwelikweli
Mh Freeman Mbowe leo anaendelea na kampeni kwenye kata ya Rundugai , licha ya jana kudhalilishwa na OCD ambaye ni Mkuu wa Polisi Wilaya ya Hai aliyeshindwa kuzuia mapenzi yake kwa Chama chake cha CCM
=======
View attachment 1594414View attachment 1594415