Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,801
- 71,226
"Pipoz uzidi todai inze reki" jamani mnataka nini zaidi ya hapo?PhD holder kimombo kinampa tabu
"Pipoz uzidi todai inze reki" jamani mnataka nini zaidi ya hapo?PhD holder kimombo kinampa tabu
Jamani mswalieni Mtume basi !"Pipoz uzidi todai inze reki" jamani mnataka nini zaidi ya hapo?
Kweli CHADEMA imechokwa Hai. Hapo mzee wa faru John yupo kwenye kampeni tena sokoni Longoi. Wafanya biashara wakimchora!!
Mh Freeman Mbowe leo anaendelea na kampeni kwenye kata ya Rundugai , licha ya jana kudhalilishwa na OCD ambaye ni Mkuu wa Polisi Wilaya ya Hai aliyeshindwa kuzuia mapenzi yake kwa Chama chake cha CCM
=======
View attachment 1594414View attachment 1594415
Mi simo mkuu 😆😆😆Na bado "nyie" Chadema msituchezee sisi! Tutatiririka hapa mpaka mtaumwa kichwa. Chezea Hpd nyie?
View attachment 1594425
Kwa lugha gani? Sisi ccm hatukubali Kiswahili wala English, labda kipush!tunaomba mdahalo wa urais. mbona marekani wanafanya, hapa shida ni nini?
Aliyekuambia ocd ni cheo ninani tofautisha kati ya cheo na madaraka zaidi ya hapo yawwzekana huelewi na wewe vitu hivyoKwenye vyeo vya kipolisi OCD ni cheo kidogo sana .
OCD tayari jarada lake lipo mezani ICC mara baada ya uchaguzi atafikishwa The Hague haraka iwezekanavyo
Mh Freeman Mbowe leo anaendelea na kampeni kwenye kata ya Rundugai , licha ya jana kudhalilishwa na OCD ambaye ni Mkuu wa Polisi Wilaya ya Hai aliyeshindwa kuzuia mapenzi yake kwa Chama chake cha CCM
=======
View attachment 1594414View attachment 1594415
ICC na vyombo vingine vya uchunguzi tayari wanayo list ya Polisiccm wote wanaoshiriki vitendo vya hovyo kuwanyanyasa wapinzani kuanzia OCD wa Tunduma mbeya mpaka huko hai mara baada ya uchaguzi mkuu wote watafikishwa ICC akiwemo IGP mwenyewe.Police na ccm awaelewi kete za upinzani wapinzani wanakusanya ushahidi kila matendo na matukio yote wanayotendewa ili kutengeneza ushahidi mzuri ambao polisi na ccm hawawezi chomoka uzuri technology utunza kila kitu ili siku ya mwisho usiseme umeonewa, maana utaonyeshwa live "we si ndo umesema piga bomu" au huyu nani" hakuna ushahidi mbaya sana Kama wa recording, Kama ule wa wasaliti huwa wanafanya nini" hapa unachomakaje sasa.
Ni kosa Polisiccm kulipwa mishahara kwa pesa za walipa kodi wote wakati ni chombo binafsi cha CCM ni wakati sasa CCM iwalipe mishahara kwa pesa zao binafsi waache kulipwa kwa pesa za ummaSimnasema polis ni ccm,kwa hiyo hiyo ni kazi ya ccm.Ila msisahau kuwalipa mishahara kutoka mfuko was chama.kama green guard.vinginevyo mtakuwa mnakosea.
Mh Freeman Mbowe leo anaendelea na kampeni kwenye kata ya Rundugai , licha ya jana kudhalilishwa na OCD ambaye ni Mkuu wa Polisi Wilaya ya Hai aliyeshindwa kuzuia mapenzi yake kwa Chama chake cha CCM
=======
View attachment 1594414View attachment 1594415
CCM ndiyo imechokwa mpaka kutengeneza vikundi vya fujo kwenda kufanya fujo kwenye mikutano ya chadema huku Polisiccm wakiwalinda pasipo kuchukua hatua zozoteKweli chadema imechokwa Hai. Hapo mzee wa faru John yupo kwenye kampeni tena sokoni Longoi. Wafanya biashara wakimchora!!
Sent from my TECNO-C7 using JamiiForums mobile app
OCD wa Hai tayari jarada lake lipo ICC mara baada ya uchaguzi atafikishwa mahakamaniOCD mpumbavu kama huyu hana maana kwa Taifa. Pale alipo hata boxer alilovaa ni kodi zetu lakini mtoto si riziki kichwani
Hujui kituHivi ile bongo muvi ya mheshmiwa makengeza kuvamiwa/kushambuliwa na hatimae kuvunjwa mguu iliishia wapi, maana ilisemekana kuwa waliomvamia walimwambia kabisa eti "wewe umekuwa msumbufu sana kwa serikali, hatukuui ila tumetumwa kuja kukupunguza makali" ............
Kipigo kizito tena cha kimya kimya kikaanza kutembea .....na katika purukushani zote hizo mguu ukavunjika lakini sehemu nyingine za mwili hazikupata hata mkwaruzo, na hata miwani nayo haikuvunjika
Lissu kishasema hawa viongozi duni hawatapelekwa ICC , wataburuzwa mahakama ya mwanzo tuOCD wa Hai tayari jarada lake lipo ICC mara baada ya uchaguzi atafikishwa mahakamani
Ndio nauliza iliishiaje?Hujui kitu
kwani hapa ni marekani?tunaomba mdahalo wa urais. mbona marekani wanafanya, hapa shida ni nini?
Jpm for 20Watumishi wote na familia zao kura kwa Lissu. Mmeteseka sana miaka 5 hakuna ongezeko la mshahara.
Huyu mgonjwa wa zika adharauliwe tuPolisi ni Mali ya ccm