M.kiti siku atakugeuka hayo ni yakwako na si Sera ya chama.Polisi ni Mali ya ccm
M.kiti siku atakugeuka hayo ni yakwako na si Sera ya chama.Polisi ni Mali ya ccm
Hajadhalilishwa na polisi. Yeye mwenyewe ndiye aliyejidhalilisha kwa kutumia lugha chafu kwa polisi.
Mh Freeman Mbowe leo anaendelea na kampeni kwenye kata ya Rundugai , licha ya jana kudhalilishwa na OCD ambaye ni Mkuu wa Polisi Wilaya ya Hai aliyeshindwa kuzuia mapenzi yake kwa Chama chake cha CCM
Simnasema polis ni CCM, kwa hiyo hiyo ni kazi ya CCM. Ila msisahau kuwalipa mishahara kutoka mfuko wa chama.kama green guard. vinginevyo mtakuwa mnakosea.Hajadhalilishwa na polisi. Yeye mwenyewe ndiye aliyejidhalilisha kwa kutumia lugha chafu kwa polisi.
Polisi na ukadaHajadhalilishwa na polisi. Yeye mwenyewe ndiye aliyejidhalilisha kwa kutumia lugha chafu kwa polisi.
Nguvu ipi ya mwananchi? Una jeshi wewe? Wananchi wote wanamkubali Mbowe kweni yeye nani? Msiwe wapuuzi,shaurini Afrika tuache siasa tujikite kufanya kazi za kujenga uchumi wetu kwa kutumia rasilimali zetu na hasa ardhi tuliyo nayoOCD ni kiumbe mdogo sana kwa Nguvu ya wananchi alikuwa anashibitisha upuuzi wake tuu
Kwani OCD atapiga kura huko Hai? Na kama ni hivyo atapiga kura ngapi?Mbowe anashinda wasiwasi ni yule mwenye broken english, anatakiwa aachie nafasi awahi kwa ras simba umri unakimbia.
Kama ni mdogo sana mbona unahangaika naye sasa?Kwenye vyeo vya kipolisi OCD ni cheo kidogo sana .
Akishinda Mbowe huyo OCD atapata aibu ya mwaka.Umechelewa wapi ?
OCD siyo cheo bali ni madalaka (officer commanding in district).Kwenye vyeo vya kipolisi OCD ni cheo kidogo sana .
i ninyi ndio wapiga kura hapa Hai? Sisi wana Hai tunajua matokeo, subirini mstuko wa mwaka.Kura atakazo pata Mbowe ni nyingi kuliko alizo wahi kupata katika kipindi chochote kile
Kusssembboi ninyi ndio wapiga kura hapa Hai? Sisi wana Hai tunajua matokeo, subirini mstuko wa mwaka.
ambayo anaweza kuvuliwa dk yoyoteOCD siyo cheo bali ni madalaka (officer commanding in district).
Mdogo sanaaaKwenye vyeo vya kipolisi OCD ni cheo kidogo sana .
User haipo naww haupoAmeshaambiwa hashindi, acha awasindikize wenzake.