johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,028
- 142,081
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amelalamikia uteuzi wa Gelasius Bakyana kuwa Balozi
Lema anesema Teuzi kama Hizi zinachochea kukua kwa Ukatili na Uovu hasa ikizingatiwa Gelasius Bakyana ndiye aliyefyekelea mbali mazao ya mwenyekiti wa chama Kikuu cha Upinzani mh Freeman Mbowe
Mh Lema ametoa malalamiko yake kupitia ukurasa wake wa twitter
God bless you all!
Pia soma
Lema anesema Teuzi kama Hizi zinachochea kukua kwa Ukatili na Uovu hasa ikizingatiwa Gelasius Bakyana ndiye aliyefyekelea mbali mazao ya mwenyekiti wa chama Kikuu cha Upinzani mh Freeman Mbowe
Mh Lema ametoa malalamiko yake kupitia ukurasa wake wa twitter
God bless you all!
Pia soma
- Mkuu wa Wilaya ya Hai, aamuru shamba la Freeman Mbowe la Mbogamboga liharibiwe, Mbowe alaani!
- RC Kilimanjaro: Tumevunja shamba la Mbowe kulinda mazingira
- Mahakama Moshi yaruhusu kilimo kuendelea kwenye shamba la Mbowe