Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,304
- Thread starter
- #21
naelewa mnagombea jimbo moja hehehee utakula ban wewe na family members wako wote. dah! sasa tumpe award gani mchizi?
Kwani jamani siasa ni ugomvi? mimi na my x bro in law hashy nia yetu ni kuwatumikia wananchi kwenye lile jimbo nikikosa mie nitampa ushirikiano siasa sio ugomvi jamani. Hasa sie tunaoamini hoja ya mgombea binafsi japo watawala wanaiogopa kama ukoma.