Hashimu Rungwe aitaka Serikali kutoa Chakula bure kwa Wagonjwa na Wanafunzi

Hashimu Rungwe aitaka Serikali kutoa Chakula bure kwa Wagonjwa na Wanafunzi

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) taifa, Hashimu Rungwe ameitaka Serikali kutoa ruzuku kwa hospitali zote nchini pamoja shule zote za msingi na sekondari ili wagonjwa wasio na ndugu wapate chakula bure huku wanafunzi ambao wazazi wao hawana uwezo wa kuchangia chakula shuleni, watoto wao wapatiwe chakula bure ili kudhibiti tatizo za utoro pamoja na udumavu kwa wanafunzi.

 
Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) taifa, Hashimu Rungwe ameitaka Serikali kutoa ruzuku kwa hospitali zote nchini pamoja shule zote za msingi na sekondari ili wagonjwa wasio na ndugu wapate chakula bure huku wanafunzi ambao wazazi wao hawana uwezo wa kuchangia chakula shuleni, watoto wao wapatiwe chakula bure ili kudhibiti tatizo za utoro pamoja na udumavu kwa wanafunzi.

Mkiuu sio chakula tu alikuwa anamaaana ubwabwa, mpunga sio kuwaiha dona.
 
Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) taifa, Hashimu Rungwe ameitaka Serikali kutoa ruzuku kwa hospitali zote nchini pamoja shule zote za msingi na sekondari ili wagonjwa wasio na ndugu wapate chakula bure huku wanafunzi ambao wazazi wao hawana uwezo wa kuchangia chakula shuleni, watoto wao wapatiwe chakula bure ili kudhibiti tatizo za utoro pamoja na udumavu kwa wanafunzi.

Mzee wa ubwabwa asijidai hasikii ndugu zake wakipopolewa mawe,akawasaidie kutoa majibu ya hoja wanazoshindwa kuwajibu raia
 
Na yeye atoe chakula mapema kwa ile misukule yake ya G55, kabla haijamyonya damu na kumuua.
Kwa hiyo hauoni umuhimu wa watoto na wagonjwa kupewa chakula? Mbona CDM wametangaza ubwabwa wa bure kwa watakao hudhuria kesi ya Lissu?

Amandla...
 
Huyu mzee kwenye mambo ya msosi humwambii kitu!..
Sera ya akina chiembe hii
1749700211064.jpg
 
Wapi nimesema hakuna umuhimu wa watoto na wagonjwa kupewa chakula!
Mbona unashindwa kujibu swali? Sijasema umesema bali nimekuuliza kama unaona umuhimu wa watoto na wagonjwa kupewa chakula. Kama unaona kuna umuhimu ungejibu ndio. Lakini unashindwa kujibu hivyo kwa sababu utathibitisha kuwa Chaumma wako sahihi.

Amandla...
 
Mbona unashindwa kujibu swali? Sijasema umesema bali nimekuuliza kama unaona umuhimu wa watoto na wagonjwa kupewa chakula. Kama unaona kuna umuhimu ungejibu ndio. Lakini unashindwa kujibu hivyo kwa sababu utathibitisha kuwa Chaumma wako sahihi.

Amandla...
Kwani ni lazima kujibu hilo swali lako?
 
Back
Top Bottom