Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,154
- 55,648
Mashirika yenye kuleta hasara, suluhisho lake ni kubinafsishwa tu; wapewe sekta binafsi wazisimamie.
Twende hivi hivi au wapewe Wazalendo 😆 😆Mashirika yenye kuleta hasara, suluhisho lake ni kubinafsishwa tu; wapewe sekta binafsi wazisimamie.
Jipigie hesabu,ukalipe,ukiuza toa risiti na ukinunua dai risiti.Kwahiyo kila mtu anadaiwa sh ngapi, nataka kujua deni langu ili nikalipe kabisa
Miaka iliyopita ipi?Mama kasema hizo hasara ni za miaka iliyopita, vp wewe?
Muulize za miaka ya nyuma ipi ?Mimi sijui ngoja nimuulize kama ni kweli
Si ya kucheka. Hii imekaa kama gharika kuingia walokuwemo na wasiokuwemoKwahiyo kila mtu anadaiwa sh ngapi, nataka kujua deni langu ili nikalipe kabisa
Twende hivi hivi au wapewe Wazalendo 😆 😆
View: https://www.instagram.com/p/DHtMP7OtBmP/?igsh=N2F2bmthdzMyem52
Wala kwa kamba watauza mashirika hayo pamoja na waliomo bila hata wenyewe kujua.Hivi ukiwekwa utaratibu wa mashirika ya umma yawe yanalipa mishahara wafanyakazi wake na kujiendesha yenyewe je wataendelea kuzalisha hasara kama hizi kila mwaka?
Tunasubiri ufafanuzi toka kwa katibu mwenezi. Atasema hamkuelewa!Miaka iliyopita ipi?
Luca mwenyewe anafurahia uovu hadi kububujikwa na machozi sijui wa wapi hata?Ww anaupiga mwingi ngoja kaka lukas akusikie
Halafu mshindi anakula shavu.HIzo takwimu ni kwamba hayo mashirika yanashindana kupata hasara au.!
Limepanda kwa haraka sana.Kuna kasheshe ipi hapo
Hahahahaa mwenyeweMama anasema hizi ni hasara za miaka za nyuma.
KMMK walah
Umeongea pwenti sana!Nashindwa kuelewa inakuwaje mtu amekaa ofisini mwaka mzima, katengeneza hasara, lakini bado yupo ofisini, what are they doing in office? Kwa nini mwenye mamlaka asimalizane nao wakalime matikiti?
Ajabu sasa, mwenye mamlaka won't care, wataendelea kutumikia nafasi zao huku wakitengeneza hasara kila siku.