Hasara juu ya hasara( hasara promax)

Hasara juu ya hasara( hasara promax)

Leo MaCCM yaliposikia Lissu yupo Tunduma yakapanga kuhujumu Mkutano. Yakazuia gari za matangazo, DED akazuia kutumika kwa viwanja vyote vya mjini. Yakazuia press ya Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Songea kuwakaribisha watu kwenye mkutano wa leo. Kwa kuwa kiwanja cha mkutano alichopewa Lissu ni nje ya mji, wananchi wengi walitegemea kwenda kwa bodaboda, lakini maCCM yakalipa boba zote ziondoke maeneo hayo. Lakini haikua tabu, wananchi wametembea kwa miguu na wamejaza uwanja. Sasa wamepata muhaho. Hawaamini macho yao. #NoReformsNoElection ✌️✌️View attachment 3285221
Ni wapumbavu tu wanaodhani ,wanaweza kuuzuia upepo kwa neti
 
Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah watabubujikwa machozi ya huzuni
my friends ladies and gentlemen,
ukiskia deni la taifa ni himilivu na stahimilivu, maana yake mambo ni bam bam, mambo ni mazuri sana,

zaidi sana,
ukiona unapata hati safi kwa 99% ujue makusanyo yanakua kwa kasi zaidi na matumizi ya serikali ni mazuri mno.

changamoto, dosari na kasoro ndogo ndogo kwenye baadhi ya tasisi za umma ni muhimu zikachukuliwa kama fursa ya kufanya mabadiliko muhimu ya kisera na kimkakati, ili kuleta tija na ufanisi katika utoaji huduma wenye faida kwa mashirika hayo.
Ni muhimu zaidi kuzingatia haya ndrugo zango, 🐒
 
my friends ladies and gentlemen,
ukiskia deni la taifa ni himilivu na stahimilivu, maana yake mambo ni bam bam, mambo ni mazuri sana,

zaidi sana,
ukiona unapata hati safi kwa 99% ujue makusanyo yanakua kwa kasi zaidi na matumizi ya serikali ni mazuri mno.

changamoto, dosari na kasoro ndogo ndogo kwenye baadhi ya tasisi za umma ni muhimu zikachukuliwa kama fursa ya kufanya mabadiliko muhimu ya kisera na kimkakati, ili kuleta tija na ufanisi katika utoaji huduma wenye faida kwa mashirika hayo.
Ni muhimu zaidi kuzingatia haya ndrugo zango, 🐒

Gentleman 😂😂😂 mtatoa elimu kila siku machawa na kukataa kila kitu. Mama kadoda
 
Back
Top Bottom