MwajabuOmary
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 2,038
- 2,948
Ningekua mama, saa tisa za usiku leo kuna watu mkeka ulikua unawahusu bila kusubili hatua nyingine
Waoga na wanafki tu, kwani huku mtaani hatuoni??Nani kakudanganya ?
Wangekuwa na maisha magumu wasingepata muda wa kubishana habari za Yanga na Simba
Hizi pesa duh so sad indeed!!
Sgr imeanza utawala upi?Mama anasema hizi ni hasara za miaka za nyuma.
KMMK walah
Sio kweli sehemu ya hao mchwa?Kama sio wanyoshe vidole juu.Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah watabubujikwa machozi ya huzuni
Sawa na bei ya noah mpya ya kutoka kwenye nailoni.Kwahiyo kila mtu anadaiwa sh ngapi, nataka kujua deni langu ili nikalipe kabisa
Ya NyerereSgr imeanza utawala upi?
Ww anaupiga mwingi ngoja kaka lukas akusikieWapi kwenye afadhali? Mbona kila mahali ni majanga?? Mwisho wa siku mwananchi ndio anabeba mzigo wote huu. Halafu mazwazwa yako busy kusema tano tena. Shame.!
Credit: Maudhui ni Malisa G.JView attachment 3284924
Ni lini nyie Watanganyika kabla ya Samia mlikuwa mnakula Neema? Au ni baada ya kutimia CAG kisa kuwaumbua?Ubinafsi unalitafuna Taifa hili ,na huo mzigo wote wanatwishwa wa Tanganyika, Mungu atuondolee chawa wote pamoja na mabosi wao ,yaani waimba mapambio na waimbiwa mapambio ,Amina
Kuna kasheshe ipi hapoHapo kwenye deni la serikali ndo kasheshe ilipo.