Hasara juu ya hasara( hasara promax)

Hasara juu ya hasara( hasara promax)

my friends ladies and gentlemen,
ukiskia deni la taifa ni himilivu na stahimilivu, maana yake mambo ni bam bam, mambo ni mazuri sana,

zaidi sana,
ukiona unapata hati safi kwa 99% ujue makusanyo yanakua kwa kasi zaidi na matumizi ya serikali ni mazuri mno.

changamoto, dosari na kasoro ndogo ndogo kwenye baadhi ya tasisi za umma ni muhimu zikachukuliwa kama fursa ya kufanya mabadiliko muhimu ya kisera na kimkakati, ili kuleta tija na ufanisi katika utoaji huduma wenye faida kwa mashirika hayo.
Ni muhimu zaidi kuzingatia haya ndrugo zango, 🐒
Shida sio den kua himilifu shida tunakopaje kias hicho?raslimali zetu zinafanya kazi gani kila ukisikia barabara imejengwa ni mkopo uwekezaji wa nch hii unafaida gani.madin na raslmali nyingine zinasaidia nin?tuna vyanzo lukuki vya mapato lukuki vinaenda wap
 
Back
Top Bottom