Ila....
Hii nchi ina mambo ya kinanii sana...☹️
Mama kasema hizo hasara ni za miaka iliyopita, vp wewe?Wapi kwenye afadhali? Mbona kila mahali ni majanga?? Mwisho wa siku mwananchi ndio anabeba mzigo wote huu. Halafu mazwazwa yako busy kusema tano tena. Shame.!
Credit: Maudhui ni Malisa G.JView attachment 3284924
Wakati fweza zinatafunwa na mchwa?Na mabadiliko ya serikali ya Marekani, wengine nao wakibadilisha sera zao ka Marekani.... baada ya uchaguzi tutatakiwa tufunge mikandaa kinaga ubaga
Hii picha imenitoaa machozi ya furaha,hata mwanangu lazima afate hizi nyendo.
#Habari: ''Kufikia Tarehe 30 Juni 2024 deni la serikali lilifikia shilingi Trilioni 97.35, kiasi hiki kimeongezeka kutokea shilingi Trilioni 82.25'' - Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali - CAG - Mr. Charles E. KichereLucas Mwashambwa na Tlaatlaah watabubujikwa machozi ya huzuni
Kwahiyo kila mtu anadaiwa sh ngapi, nataka kujua deni langu ili nikalipe kabisa#Habari: ''Kufikia Tarehe 30 Juni 2024 deni la serikali lilifikia shilingi Trilioni 97.35, kiasi hiki kimeongezeka kutokea shilingi Trilioni 82.25'' - Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali - CAG - Mr. Charles E. Kichere
#EastAfricaTv #HainaKuchoka #RipotiyaCAG
Nani kakudanganya ?😥 Hii nchi na bado wananchi maisha magumu..!!