Hasara juu ya hasara( hasara promax)

Hasara juu ya hasara( hasara promax)

Sawa mwana mpinzani
😀😀😀😀
1743063320567.jpg
 
Na mabadiliko ya serikali ya Marekani, wengine nao wakibadilisha sera zao ka Marekani.... baada ya uchaguzi tutatakiwa tufunge mikandaa kinaga ubaga
 
Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah watabubujikwa machozi ya huzuni
#Habari: ''Kufikia Tarehe 30 Juni 2024 deni la serikali lilifikia shilingi Trilioni 97.35, kiasi hiki kimeongezeka kutokea shilingi Trilioni 82.25'' - Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali - CAG - Mr. Charles E. Kichere

#EastAfricaTv #HainaKuchoka #RipotiyaCAG
 
#Habari: ''Kufikia Tarehe 30 Juni 2024 deni la serikali lilifikia shilingi Trilioni 97.35, kiasi hiki kimeongezeka kutokea shilingi Trilioni 82.25'' - Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali - CAG - Mr. Charles E. Kichere

#EastAfricaTv #HainaKuchoka #RipotiyaCAG
Kwahiyo kila mtu anadaiwa sh ngapi, nataka kujua deni langu ili nikalipe kabisa
 
Back
Top Bottom