Has Kikwete lost his "Legitimacy" to Lead?

Has Kikwete lost his "Legitimacy" to Lead?

- ha! ha! ha! ha! ha! ha! you know kuna one thing inanichekesha sana kwani ni lini niliwahi kuwa Chadema, when was that?
Es!

Chifu, mkuu MTAZAMO kakwambia hivi, "naona umeamua kutumikia kafiri".

Kwenye hiyo phrase hajasema kama umewahi kuwa mwanachama wa CHADEMA.

Sasa sioni ni vipi swali lako hapo juu limetokea!!
 
Last edited by a moderator:
Chifu, mkuu MTAZAMO kakwambia hivi, "naona umeamua kutumikia kafiri".

Kwenye hiyo phrase hajasema kama umewahi kuwa mwanachama wa CHADEMA.

Sasa sioni ni vipi swali lako hapo juu limetokea!!

- Yaaani ninamtumukia kafiri ambaye before nilikwua simtumikii, sasa when was that niliwahi kutomtumikia huyo kafiri wangu CCM< ha! ha! ha! ha! nashangaa na wewe kujitosa kwenye hii mijadala ya ufinyu wa akili na wewe unajua tunavyoheshimiana, inanishangaza sana!!

- Eti na wewe hujui msimamo wangu? from when?

Es!
 

@
Field Marshall ES
Kwa kutowachukulia hatua wahusika, Rais amelidharau bunge la wananchi wa Tanzania na hata sisi wananchi tuliowachagua, na pia aamedharau sheria za jamhuri, hili ni tatizo lake Rais either anawaogopa watuhumiwa wa Richimond, au ni marafiki zake, au hajui wajibu wake kama Rais kwamba ndiye The Law Chief Enforcer wetu.

Mkuu Sema Usiogope Bana Kama Mbwai Mbwai tu. Hawa Jamaa Mpaka leo Bado wanatesa Mtaani. Sema Mzee wa Ze Dataz
 
Kuna members wa siku nyingi sana humu ambao haitakuja kamwe wachangie thread hii!!

Hii ni kwa sababu zilizo wazi.

Tunawasoma endeleeni!
 
Kuna members wa siku nyingi sana humu ambao haitakuja kamwe wachangie thread hii!!

Hii ni kwa sababu zilizo wazi.

Tunawasoma endeleeni!
Mkuu FP, sio tuu members wa siku nyingi sana ndio hawatachangia thread hii, bali hata sisi members ambao sio wa siku nyingi sana, pia hatutachangia thread hii
kwa sababu hizo hizo zilizo wazi!.
Pasco!.
 
Mojawpo ya majibu....."mnaonisema mnasumbuliwa na wivu wa kike....
 
Huyu rais wetu hawezi kuwa mtu anayelala kwa furaha kwani hata yeye mwenyewe akifunga macho na kufikiria aliyoyafanya anashikwa na pressure. Hakuna zuri lolote alilolifanya katika utawala wake zaidi ya kumtajirisha mwanae Ridhiwani kwa rasilimali za nchi. Viongozi/marafiki zake wengi ni wezi na wanajulikana lakini yeye anawalea tu na wanazidi kuwaibia wananchi waliomweka madarakani. Yeye akiwa ndiyo chief law enforcer wa nchi yetu anashindwa nini kuwachukulia hatua hawa watu/majambazi? Kikwete si kiongozi madhubuti, huyu alifaa kuwa mkuu wa mkoa tu kwani urais proves too much for him.
 
Mojawpo ya majibu....."mnaonisema mnasumbuliwa na wivu wa kike....



Sawa mimi nikiwa mmoja wapo. Swali kwake bishoo/rais wetu: Ni nini cha maana alicho kifanya toka akae madarakani mpaka hivi sasa? Yes, jibu ni hakuna...sasa kwanini watu wasikuseme? He's NOT doing anything good for the country but puting the country in jeopardy.
 
Wakuu JF salaam,

- Wote tumeyasikia yote yaliyosemwa kwenye kongamano la Mwalimu's Foundation, infact hata Mangula naye amejitokeza na kusema yake kuhusiana na ubovu wa serikali ya sasa chini ya uongozi wa Rais wetu Mheshimiwa Kikwete, na cha kutisha sana ni pale Rais aliporudi nchini na kudai kwamba anajitayarisha kuwajibu wale wote tunaohisi kwamba uongozi wake una matatizo, na akadokeza kwamba wengi tunaomkosoa tunasumbuliwa na chuki za binafsi.

- Ninasema hivi, wakati Rais anajitayarisha kujibu mapigo ni vyema na sisi wananchi tukaweka wazi our case against Rais na serikali yake, tena with facts! Sasa tafadhalini sana ndugu zangu tujitahidini kuweka facts za mapungufu ya Rais wetu wa sasa, yaani Mheshimiwa Kikwete na serikali yake toka ashike madaraka, miaka minne iliyopita!

- One thing ninataka kuamini ni kwamba wote hapa tunakubaliana kwamba toka ashike madaraka hakuna hata moja zuri alilolifanya, lakini kama lipo lisemwe hapa! Labda tukimuwahi kabla hajajitokeza tunaweza kupunguza some nonsense kwenye majibu yake na pia tutawasaidia ma-Prosecutors wetu, hasa DPP na Hosea kuanza kutayarisha kesi againts mafisadi!

Respect.


Field Marshall Es!

- kwa kuanza ninasema kwamba Rais, ameshindwa kuwachukulia hatua za kisheria wahusika wote wa ubaradhuli wa Richimond, ambao umeliletea hasara kubwa sana taifa letu, na haya yamethibitishwa na bunge letu kupitia kamati yake maalum ya Mwakyembe.

- Kamati hii ilifanya uchunguzi wa kisheria kwa mujibu wa katiba ya bunge laetu la jamhuri na kutoa mapendekezo kadhaa kuhusu watuhumiwa na adhabu wanazostahili, lakini mpaka leo serikali na hasa Rais, wameshindwa kuwachukulia hatua za kisheria, hasa zilizopendekezwa na bunge.

- Kwa kutowachukulia hatua wahusika, Rais amelidharau bunge la wananchi wa Tanzania na hata sisi wananchi tuliowachagua, na pia aamedharau sheria za jamhuri, hili ni tatizo lake Rais either anawaogopa watuhumiwa wa Richimond, au ni marafiki zake, au hajui wajibu wake kama Rais kwamba ndiye The Law Chief Enforcer wetu.

- Sasa hii ni moja ya sababu muhimu ya baadhi yetu wananchi kuamini kwamba serikali yake yaani Rais Kikwete, imeshindwa uongozi na ikibidi yeye na wenzake waachie ngazi, maana tunao wananchi wengi sana wenye uwezo wa kuongoza ipasavyo, ambao wataziheshimu sheria zetu badala ya kuzichezea kwa kutumia mahela yetu mengi sana kuigharamia kamati ya uchunguzi kama ya Mwakyembe na kuishia kuificha uvunguni ripoti yake.

Respect.

Kaka:

Ama kweli wewe kigeu geu, na sijui kama kina Nape na wengine wanaelewa unasimamia wapi; Tazama uliyoandika hapa dhidi ya Kikwete, tena personal attacks on him, and only three years later, tena utawala wake ukiwa umelemewa maradufu na suala la Ufisadi, unazungumza maneno mengine kabisa ya kumpamba;

Sasa nakuelewa wewe ni mtu wa namna gani na unatafuta nini ndani ya CCM; Sasa nakubaliana na wengi humu kwamba kujibishana na wewe ni kupoteza muda na kuchezeana tu akili, kwani unachotafuta wewe kinazidi kudhihirika; Hakuna hata chembe ya maslahi ya taifa wala chama hapo, lakini cha ajabu ni kwamba Watu kama nyie ndio mnaaminiwa kuokoa jahazi la CCM katika muktadha wa sasa; Sio ajabu Chama kinazidi kudidimia kwani kipo mikononi mwa wrong people, who are just 'opportunistic'; CCM itajengwa na watu wenye kusimamia wanayo amini, sio wanayopewa, and you belong to the later, not the former;

Nakuonea huruma sana Kaka kwani kwa mwendo huo, you wont last in this game of politics, unaendekeza yale yale ambayo Mwalimu Nyerere throughout alituonya jinsi gani yanaua Chama na kujenga uadui ndani ya Chama: Unafiki na Ubinafsi;
 
Enzi hizoooooo FMES alipokuwa anashusha vitu vya uhakika hapa jamvini kwa kutetea maslahi ya nchi na kujijengea heshima kubwa kwa wanachama wengi wa wakati huo, sijui nini kilichotokea katika kipindi cha miaka michache iliyofuata...Mhhhh! Watu wanabadilika jamani!!!! Ukisoma jumbes za FMES za wakati huo na sasa unaona kama unasoma jumbes za watu wawili tofauti!!!!

Wakuu JF salaam,

- Wote tumeyasikia yote yaliyosemwa kwenye kongamano la Mwalimu's Foundation, infact hata Mangula naye amejitokeza na kusema yake kuhusiana na ubovu wa serikali ya sasa chini ya uongozi wa Rais wetu Mheshimiwa Kikwete, na cha kutisha sana ni pale Rais aliporudi nchini na kudai kwamba anajitayarisha kuwajibu wale wote tunaohisi kwamba uongozi wake una matatizo, na akadokeza kwamba wengi tunaomkosoa tunasumbuliwa na chuki za binafsi.

- Ninasema hivi, wakati Rais anajitayarisha kujibu mapigo ni vyema na sisi wananchi tukaweka wazi our case against Rais na serikali yake, tena with facts! Sasa tafadhalini sana ndugu zangu tujitahidini kuweka facts za mapungufu ya Rais wetu wa sasa, yaani Mheshimiwa Kikwete na serikali yake toka ashike madaraka, miaka minne iliyopita!

- One thing ninataka kuamini ni kwamba wote hapa tunakubaliana kwamba toka ashike madaraka hakuna hata moja zuri alilolifanya, lakini kama lipo lisemwe hapa! Labda tukimuwahi kabla hajajitokeza tunaweza kupunguza some nonsense kwenye majibu yake na pia tutawasaidia ma-Prosecutors wetu, hasa DPP na Hosea kuanza kutayarisha kesi againts mafisadi!


Respect.



Field Marshall Es!
 
Kwakweli si dhambi kutoa misimamo kama mwanadamu :

But its disturbing to be aggrieved with certain traits of a leader and then fight with all your might to join him this time ukibadilisha single, because yes unaweza ukapambana ukiwa ndani kama comrade Mwakyembe na kuweka msimamo wako wazi kabisa, lakini hii ya kupambana na kujoin forces na huyo uliyemwanzishia threads kadhaa kumpinga is beyond sanity
 
Kwakweli si dhambi kutoa misimamo kama mwanadamu :

But its disturbing to be aggrieved with certain traits of a leader and then fight with all your might to join him this time ukibadilisha single, because yes unaweza ukapambana ukiwa ndani kama comrade Mwakyembe na kuweka msimamo wako wazi kabisa, lakini hii ya kupambana na kujoin forces na huyo uliyemwanzishia threads kadhaa kumpinga is beyond sanity

But people do change their minds...
 
But people do change their minds...

Yes Nyani, both good and bad fact of life, be careful of what you say now it will be used against u when u least expect it esp if u are aspiring for politics....
 
But people do change their minds...

Of course.

But when it comes to big issues you probably change your mind rarely, if ever.

Usually, this is a good thing. You're consistent and reliable, and you're able to stand up for what you think.

But sometimes, you'll find yourself in a situation where you have to change your mind and perhaps even go against what you've said to friends, family or colleagues.

And there's not necessarily anything wrong with that. In fact, being willing to change your mind &#8211; to be "open minded" &#8211; is hugely important in a world which changes fast.

But, at least, try to explain when and why you changed your mind, especially when asked to.

Otherwise, you may end up being inconsistent, unreliable and even unable to stand up for what you believe.
 
Mkuu FP, sio tuu members wa siku nyingi sana ndio hawatachangia thread hii, bali hata sisi members ambao sio wa siku nyingi sana, pia hatutachangia thread hii
kwa sababu hizo hizo zilizo wazi!.
Pasco!.

Pasco,

Sijashangaa jinsi Steve dii na Nyani Ngabu walivyochangia. Hata wewe. Exactly kama nilivyo predict.

Nasema hivyo kwasababu nafahamu Steve Dii na Nyani Ngabu walikuwepo enzi hizo.

By the way Steve Dii, nitafute.

Mie mikono imefungwa nashindwa kuchangia kabisa kuhusu hii mada.
 
Last edited by a moderator:
Kaka:

Ama kweli wewe kigeu geu, na sijui kama kina Nape na wengine wanaelewa unasimamia wapi; Tazama uliyoandika hapa dhidi ya Kikwete, tena personal attacks on him, and only three years later, tena utawala wake ukiwa umelemewa maradufu na suala la Ufisadi, unazungumza maneno mengine kabisa ya kumpamba;

Sasa nakuelewa wewe ni mtu wa namna gani na unatafuta nini ndani ya CCM; Sasa nakubaliana na wengi humu kwamba kujibishana na wewe ni kupoteza muda na kuchezeana tu akili, kwani unachotafuta wewe kinazidi kudhihirika; Hakuna hata chembe ya maslahi ya taifa wala chama hapo, lakini cha ajabu ni kwamba Watu kama nyie ndio mnaaminiwa kuokoa jahazi la CCM katika muktadha wa sasa; Sio ajabu Chama kinazidi kudidimia kwani kipo mikononi mwa wrong people, who are just 'opportunistic'; CCM itajengwa na watu wenye kusimamia wanayo amini, sio wanayopewa, and you belong to the later, not the former;

Nakuonea huruma sana Kaka kwani kwa mwendo huo, you wont last in this game of politics, unaendekeza yale yale ambayo Mwalimu Nyerere throughout alituonya jinsi gani yanaua Chama na kujenga uadui ndani ya Chama: Unafiki na Ubinafsi;
huyo ni lemutuz the big show le baharia in another ID'S
 
huyo ni lemutuz the big show le baharia in another ID'S
Mnafki ameumbuka, huyu jamaa anaweza hata akatowa viungo vyake kwa sababu ya uchu wa madaraka, just Imagine JK akipata Taarifa huyu ndio mtoto wa Malecela aliyekuwa akimtukana mitandaoni na ninavyomjuwa JK kwa visasi pata picha atakavyohakikisha anamtokomeza kabisa.
 
Huyu si ndiye anaye saka uongozi CCM na nchini usiku na mchana?
Anayakumbuka haya alosema miaka 3 ilopita?
 
Back
Top Bottom