- Najua unajisikia vibaya sana maana ni wewe uliyekuwa unaongoza matusi kule Facebook, sasa nikaona dawa ni kurudisha vita hapa hapa, sasa utahangaika sana wewe ulikuwa hujui unacheza na nani, wanaonijua vizuri wanajua kwamba umekanyaga makaa ya moto mamen!
- Dunia nzima inanijua inapokuja kwenye integrity, so kwenye hili nakuona kila mahali unajaribu kuanzisha ishu lakini utaishia kama wengine kama wewe waliojaribu, ila huwezi kushindana na mimi maana huwa nina ugly truths na simuogopi anybody!
- Mukama alipokosea nilichamna kwenye media, na sasa Slaa amekosea ninamchana kama kawaida, utaruka, utalia utacheka utatukana, lakini huwezi kubadili ukweli kwamba Slaa kuwa na kadi ya CCM ni makosa sana!!
Es!