Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,218
Hata mimi miaka mingi sana marehemu bi nkubwa aliniambia hivyo akanionya nikihisi harufu hiyo ninyamaze nisije kukaribishwaSisi tuliambiwa na watoto wenzetu kwamba ukisikia harufu ya wali ujue ni majini.