Harufu ya ubwabwa porini

Harufu ya ubwabwa porini

ila hakuna msosi mzuri utakaowahi kutokea kama wali nyama arage na mchicha. Uhenda haya majoka makubwa yameamua kujichanganya kwenye hii mechanism kuwavutia vitoweo vyao,
Hivi kweli kuna watu wana allergy na wali???
 
Fursa nzuri ya utafiti. Mfano ikigundulika ni mmea ndio unatoa harafu hii basi kupitia biotechnology kiini cha mmea kinaweza kupandikizwa kwenye mpunga konogesha ladha na harufu.
Aisee we jamaa ni hatari eti!
 
Mimi niliambiwa nyoka anakuwa kalala CHALI muda huo
 
Ni kweli ni nyoka huwa anatoa harufu hiyo au nyingine anayekuvutia akiwa kwenye mawindo ya kutafuta chakula na hasa chatu ndio mwenye sifa hiyo kwa kuna baadhi ya wanyama hufuata hiyo harufu ndio hapo anawadaka ila hii harufu ya ndio watu tumeikariri sana pia hutoa harufu ya beberu kama kuna mbuzi akiifuata anamdaka.
 
Back
Top Bottom