Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,211
- 99,963
Wallah ukichunguza vizuri utakuta kuna Mkutano wa Chama Fulani cha Siasa Jirani....
Ni kweli, harufu hiyo huwa ipo kwa sana. Huwa najua ukihisi hiyo harufu ujue kuna nyoka anajivua gambaAta,mie wakati niko bukoba vijijini,wakati napita migomboni iyo harufu nilikuwa nainusa sana
Chatu ana mbinu nyingi sana, sometime analia kama mbuzi, utasikia "meee" "meee" wewe unajipeleka kumkamata mbuzi kumbe unajipeleka mdomoni mwa chatu.Ni kweli ni nyoka huwa anatoa harufu hiyo au nyingine nyekuvutia akiwa kwenye mawindo ya kutafuta chakula na hasa chatu ndio mwenye sifa hiyo kwa kuna baadhi ya wanyama hufuata hiyo harufu ndio hapo anawadaka ila hii harufu ya ndio watu tumeikariri sana pia hutoa harufu ya beberu kama kuna mbuzi akiifuata anamdaka.
kisa pepsi inauzwa jero au??Mkuu Me sitakimbia nitaifuata harufu ya wali nikiwa na ndizi, pilipili na pepsi ya baridi.
wote nie mko wrong-hii harufu ni ya mnyama mdogo sikuumbuki vizuri ni yupi either kicheche au komba akikojoa-mkojo uwa na harufu ya waliHilo la nyoka kufungua mdomo itakuwa kamba tu maanake nimewahi kuhudhuria maonesho yanayohusu nyoka mara kadhaa hasa chatu na walikuwa wanapiga miayo lakini hiyo harufu ya beche haikuwa ikinukia.
Yawezekana ni utomvu wa miti au maua tu.
wote nie mko wrong-hii harufu ni ya mnyama mdogo sikuumbuki vizuri ni yupi either kicheche au komba akikojoa-mkojo uwa na harufu ya wali
Komba ni kiswahil na kimombo anaitwa BushbabyKomba ni kiswahili au kingoni? Anaitwaje kwa kimombo?
Ukisikia harufu hiyo ujue upo karibu mwana CCM anayejivua gamba....

MhMimi niliambiwa ukisikia hivyo ujue shetan anapika
NjaaWakati mwengine unaweza pita katika mti mkubwa, pori au hata kichaka ukasikia harufu ya viazi vinapikwa.....je, ni nini?
Akishavua gamba vipi, anavaa gwanda?Mie nakumbuka zamani nilikuwa naambiwa eneo hilo lina nyoka anayejivua gamba wakati huo!
Usichokijua usikidhaniNjaa