Harufu ya ubwabwa porini

Harufu ya ubwabwa porini

Mkuu Me sitakimbia nitaifuata harufu ya wali nikiwa na ndizi, pilipili na pepsi ya baridi.
Ok, ili atakapokuwa anakumeza, ale na hiyo pilipili ili uwe mtamu... na ale ndizi, kiasha akushushie wewe na hiyo ndizi kwa PESPI ya bariiidiii...

M'BEBEE NA CHUMVI ACHA ROHO MBAYA
 
Mmh hii wengi tumeaminishwa kuwa usikiapo harufu ya wali polini jua kuna joka lakini nani Ali prove hii
Ni kweli niliprove kuna mtu alifuga joka lake kwaajili ya ulinzi wa banda la kuku, mara nyingi alikuwa antoa harufu hiyo
 
Habari za jumapili wana JF.
Bila kupoteza muda wadau naomba kuuliza,Je ile harufu ya wali (wali nazi) ambayo tunaisikia tukiwa porini au msituni tena sehemu ambayo haina makazi ya watu inatokana na nini?
Cc. mshana jr

Siku nyingine ukiisikia tena Vua Viatu vyako, vishike Mkononi, Sali Sala ya Toba kisha waza jinsi Mwanariadha Bingwa duniani Usain Bolt anavyokimbia kwa Kasi Mashindanoni na Wewe ufanye hivyo hivyo ukiwa huko Porini kabla Chatu hajasababisha Nyumbani Kwako ( Kwenu ) Maturubai ya Msiba Kuwekwa na Jina lako kubadilika rasmi ukaanza Kuitwa Marehemu Coke Zero.
 
Ni kama bahati hli jambo tuliongea Leo hayo ni majani Fulani hivi huwa yanatoa hiyo harufu nikipata muda ntayapiga picha
 
Siku nyingine ukiisikia tena Vua Viatu vyako, vishike Mkononi, Sali Sala ya Toba kisha waza jinsi Mwanariadha Bingwa duniani Usain Bolt anavyokimbia kwa Kasi Mashindanoni na Wewe ufanye hivyo hivyo ukiwa huko Porini kabla Chatu hajasababisha Nyumbani Kwako ( Kwenu ) Maturubai ya Msiba Kuwekwa na Jina lako kubadilika rasmi ukaanza Kuitwa Marehemu Coke Zero.
Mbio mbio kumbe unamkimbilia mwenye hiyo harufu.

Mambo ya mbio mbio si mazuri.

Unamsindikiza mgeni akapande treni, mnakuta treni inaondoka mnaikimbiza.

Mbio mbio zako unajikuta umepanda wewe treni mgeni wako kaachwa

Unaishia kumrushia funguo asilale nje ww unaenda kulala stendi.
 
Mbio mbio kumbe unamkimbilia mwenye hiyo harufu.

Mambo ya mbio mbio si mazuri.

Unamsindikiza mgeni akapande treni, mnakuta treni inaondoka mnaikimbiza.

Mbio mbio zako unajikuta umepanda wewe treni mgeni wako kaachwa

Unaishia kumrushia funguo asilale nje ww unaenda kulala stendi.
 
Kuna dogo kasema kuwa komba akikojoa huwa kuna hio smell... Kuna kama kaukweli hapo ingawa sijui maana kuna madogo kitambo kile walikuwa wakijikojolea utawatambua tu kwa harufu kali ya beche...
Mkojo wa komba..hii ina sound kama kweli
 
Lakini kwa nini hii kitu itokee vijijini tu, au maeneo ya porini?
Nadhani inaweza kuwa msongo wa mawazo!
 
Back
Top Bottom