Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 5,341
- 11,086
Kwahiyo kufa ndio kunamthibitisha huyo Mungu ndio kaniumba?kitu kizuri ni kwamba maadam umezaliwa utakufa tu mkuu na usiku wa kwanza kaburini utaelewa uliumbwa au ulievolve kutoka kwenye mti, subiri..
Hivi hizo akili za kushikiwa hua mnazibebaje kwenye bongo zenu anakufa sisimizi,panzi,ngedere,nzi kwahiyo nao wakifa wanaanza kujua kua Mungu yupo?
Watu wanakufa kama zinavyokufa nyota huko angani hivyo ni nature ya kitu chochote katika universe law acheni vitisho vya kitoto Aisee
Mungu,Mungu,Mungu Hata huyo Mungu Atakufa kama vinavyokufa vingine maana katika Sheria za Ulimwengu Kila kitu lazima kife Kwa Muda mwafaka Hata Huu mfumo wa jua letu utakuja kufa mbeleni Yaani supernova!
Tusitishane na hekaya za kiabunuwasi hapa!