mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,787
Ila hakuna "ALIYEKUFA NA NJAA"
Kiranga karibu huku unaitwa.Subhanaalah! Hivi binaadam tuna nini lakini? Mkuu umepatwa na maswahibu gani hata ukane uwepo wa Mungu?


Umenena vema mkuuDini na imani ni chakula cha roho na kinga dhidi ya 'negative energy'
Kupata pesa na utajiri ni jitihada za akili na nguvu.
Wala usijaribu kukebei dini na imani kwa kisingizio cha pesa na utajiri..
Daima usifanye hilo kosa la kudharau dini na imani. Huo utajiri na mafanikio utapuputika.

.Kitu kizuri ni kwamba maadam umezaliwa utakufa tu mkuu na usiku wa kwanza kaburini utaelewa uliumbwa au ulievolve kutoka kwenye mti, subiri..Kesha unafanya kazi,
siyo ukeshe unaomba Mungu, ambaye kiuhalisia hayupo.
Mara mia ukeshe usiku kucha unamuomba mwanadamu mwenzako, atakupa msaada.
Ni vyema kuchunga ndimi zetu kabla ya kuzungumza chochote bila ushahidi wowote.
Tumefungwa na babu yako?Jibu hoja acha vitisho, ndiyo maana mmefungwa kufikiri.
Hivi mbona huwa mnashangaa mtu asiyeamini kitu kisichothibitishika na hakionekani...badala ya kuwashangaa wanaoamini mambo kama samaki mtu,mizimu,majini,malaika, mungu ambavyo havionekani,havina ushahidi na havithibitishiki?Subhanaalah! Hivi binaadam tuna nini lakini? Mkuu umepatwa na maswahibu gani hata ukane uwepo wa Mungu?
Dogo najua tu ulimbukeni bado unakusumbua, mtapotea kwa kufuata mkumbo wa Kiranga.Mungu Kama yupo au kama hayupo, mimi hainihusu!
Huyu Mungu hanisaidii kwa chochote, wala hanisaidii kwa lolote!
Maisha yangu hayahitaji wala hayategemei Mungu.
Sisi tunawaakhirishia mpaka siku yatakapokodoka macho yao.Subhanaalah! Hivi binaadam tuna nini lakini? Mkuu umepatwa na maswahibu gani hata ukane uwepo wa Mungu? The
Kala maharage kashiba huyoDogo najua tu ulimbukeni bado unakusumbua, mtapotea kwa kufuata mkumbo wa Kiranga.
Ukiwa unakula, unashiba, unakwenda chooni na hupati shida kubwa kubwa, ni rahisi sana kusema Mungu hayupo. Ila siku ukikutana na mitihani ya dunia ndio utakapojua Mungu yupo
Omba Mungu akuepushe na mitihani. ya dunia kijana.
Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Si kweli mkuu, fanya tafiti upya.Dini na imani ni chakula cha roho na kinga dhidi ya 'negative energy'
Kupata pesa na utajiri ni jitihada za akili na nguvu.
Wala usijaribu kukebei dini na imani kwa kisingizio cha pesa na utajiri..
Daima usifanye hilo kosa la kudharau dini na imani. Huo utajiri na mafanikio utapuputika.
Acha kusapoti vitu visivyo sahihi.Umenena vema mkuu.
Anataka milege tu huyo...Subhanaalah! Hivi binaadam tuna nini lakini? Mkuu umepatwa na maswahibu gani hata ukane uwepo wa Mungu?
Mungu Kama yupo au kama hayupo, mimi hainihusu!
Huyu Mungu hanisaidii kwa chochote, wala hanisaidii kwa lolote!
Maisha yangu hayahitaji wala hayategemei Mungu.
Kama ulimbukeni unanisumbua, ni jambo jema.Dogo najua tu ulimbukeni bado unakusumbua, mtapotea kwa kufuata mkumbo wa Kiranga.
Ukiwa unakula, unashiba, unakwenda chooni na hupati shida kubwa kubwa, ni rahisi sana kusema Mungu hayupo. Ila siku ukikutana na mitihani ya dunia ndio utakapojua Mungu yupo
Omba Mungu akuepushe na mitihani ya dunia kijana.
JamiiForums mobile app