The Clinic
Senior Member
- Sep 11, 2019
- 117
- 327
Aseeh!!Kesha unafanya kazi,
siyo ukeshe unaomba Mungu, ambaye kiuhalisia hayupo.
Mara mia ukeshe usiku kucha unamuomba mwanadamu mwenzako, atakupa msaada.
Wewe Muha umekutana na kitu gani hadi kuwa atheist?
Ila Usifike Mbali Mkuu..
Umetumia Kejeli Kubwa Sana kwa sisi tunaoamini katika Mungu.