Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 4,191
- 8,393
Wakuu, Hii harambee ya Chama tawala imejaa genge Fulani la watu wachafu tu na hawana interest na taifa letu,
Urais ni cheo cha juu kabisa na nadhani ni vyema kika serve interest ya umma kuliko Kuhuduma kwa cartel Fulani la watu wachache,
power inakuja na Kuondoka ila generation zetu zitakuwa hapa for years tu come, Right kama Nyerere angekuwa walau na element za Viongozi wetu Hawa wa Leo basi kama taifa tusingefika hapa tulipo
tuache show off
Urais ni cheo cha juu kabisa na nadhani ni vyema kika serve interest ya umma kuliko Kuhuduma kwa cartel Fulani la watu wachache,
power inakuja na Kuondoka ila generation zetu zitakuwa hapa for years tu come, Right kama Nyerere angekuwa walau na element za Viongozi wetu Hawa wa Leo basi kama taifa tusingefika hapa tulipo
tuache show off