Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,674
wakongwe wa ngono?,..ok mi nakumpa ushauri,kwakua mamako anataka uendelee kujirusha ili ufurahie ujana basi usisahau kuwambia wanaume unakutana nao kimwili wawage wanavaa condom.
Vinginevo miaka 35 utaisikia kwenye kipindi cha majira tu,kwani hutoifikia.
Umri na shule vinahusiano gan???.....
Wapo wenye miaka 50 na wapo diploma sembuse yy 1st year degree!!!
H'day......ingawa lugha ujifunze
leo i am new born nimetimiza miaka 23 tu my mama anasemaga nisijipe presha za ajabu ajabu nile raha za utoto kwanza
yeye ananiona bado kinda sana ukizingatia ni mtoto wa mwisho ndo kabisaaaaaaaaaaaaaa give me hopes in my future please ukizingatia niko chuo first year nahitaji experience kutoka kwenu wakongwe
Hongera sana kwa siku ya kuzaliwa. Miaka 23 bado unajiona mtoto? Mimi mke wangu akiwa na mika 23 alikuwa tayari na watoto 2.
ahsante nashukuru sanaI believe u have climbed high mountains, walked on thorny paths, sailed on the raging seas and took a ride on dangerous highways.
C'mon let's face it; Your God - Jehova has always been faithful all the way. Enjoy your day, you are worth it.
Happy Birthday.
I only reach 23 years ...??? Ushauri wa bure b.day girl ... Jifunze ngeli ...
Happy Birthday.
hahahahahahahahaha hiyo hapana
haya hongera na
HAppy birthday miss neddy...
take my cake tafadhali
ahsante nashukuru sana
hbd to u,may u live to blow 100 candles,hebu ka picha basi tukuone mtoto wa mama
leo i am new born nimetimiza miaka 23 tu my mama anasemaga nisijipe presha za ajabu ajabu nile raha za utoto kwanza
yeye ananiona bado kinda sana ukizingatia ni mtoto wa mwisho ndo kabisaaaaaaaaaaaaaa give me hopes in my future please ukizingatia niko chuo first year nahitaji experience kutoka kwenu wakongwe
Mtoto mbichiiiiii... Dah Mda umefika wa kujituliza au kujiachia. Ushauri wa mama uwe wa kujituliza sio kila mtu aje kula raha kwako ukabaki na Maumivu. Dats all
waooo...hap birthday ma dear..let me sing a song 4 u...
hap b.day to uuu...
hap b.day to uuu.....
hap b.day dear wewe ...
hap b.day to uuuu.....
I WISH U ALL U WISH 4 URSELF..MAY GOD BLEC U EN ENJOY UR DAY...
halloooo J.F naomba wimbo wa HAP B.DAY umfikie MIC NEDDY...
ujumbe mshukulu mungu kwa kukufikisha cku ya leo..mheshimu MAMA aliyekubali kukuweka tumboni miezi 9 na kukulea mpaka kufika cku ya leo...kwani wadada wengi leo hii wanatoa mimba bila kuwahulumia viumbe hawa wasio na hatia.all de best..
Miss Neddy umezaliwa tarehe moja na Akili Unazo!! kweli tunafanana na mi pia ni mtoto wa mwisho..Hureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Happy Birth Day twin na inawezekana kabila moja
Ina maana kufurahia ujana ni kulala na wanaume?? huh!!!
i mean nimetimiza miaka23
Good!!!
Manake hata mimi na miaka yangu 61 ndo kwanza niko mwaka wa kwanza open yunivasite.