Happy birthday to me Trudie

Happy birthday to me Trudie

Hakika tumezeeka, hata kutoa na kujumlisha shida!😃
Maana nilivyopiga hesabu basi kwa umri wangu nikajikuta nipo nakimbilia 50 kabisa😂😂😂 wakija watoto wa 2005 watakuvamia hapa
 
Leo sijakata keki babu uchumi umekuwa mgumu, nasubiri kaka yangu Intelligent businessman anifanyie suprise tukate pamoja
Usifanye mbinu ya kuninyima hiyo cake Mjukuu 🤗

Ningekuwa najua namna ya kutuma salio kupitia Simbank ningekurushia ili tuwahi cake kabla maduka hayajafungwa, bahati mbaya Babu yenu ndiyo sijui eti 😜
 
Usifanye mbinu ya kuninyima hiyo cake Mjukuu 🤗

Ningekuwa najua namna ya kutuma salio kupitia Simbank ningekurushia ili tuwahi cake kabla maduka hayajafungwa, bahati mbaya Babu yenu ndiyo sijui eti 😜
Jamani babu basi ngoja nimwite mdogo wangu Intelligent businessman akufundishe kutumia sim banking tuwahu kukata keki😂😂😂
 
Happy 🎂🎂🎂 Dear T.
Ishi miaka mingi, na uendelee kufurahia kusudio la wee kuwepo Duniani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom