HongereniYaani acha tuu nibaki na mkorofi wangu
Itafungwa?Waje huku tukusanye mzigo wa nafaka tupeleke kenya kabla ya border ya Namanga haijafungwa
Dogo utaumia nakuhurumia, unagusa batani chafu iliyoshindikana.Oya Kama una nimudu si uombe tupambanishwe, niku nyuke niku gonge vikombe niku tapishe.
Nlijua hii scenario ya wale wanaharakati wa kenya ingefika mbaliItafungwa?
Chizi MaarifaKwanza namshukuru sana mwenyezi Mungu kuiona siku ya leo. Happy birthday to me, leo nimetimiza miaka kadhaa duniani hapa.
Nimeingia floor ya tatu na zaidi, sina mengi niliyofanikiwa ila namshukuru Mungu kwa machache niliyo nayo na ninajivunia.
Kama kuna member nashare nae siku ya kuzaliwa leo namuomba Mungu azidi kutuwekea mkono wake tufike miaka mingi zaidi na Happy birthday kwake pia. Intelligent businessman
Oya Mpaji Mungu huyu kima ntakuja nimpige ngumi za chembe halafu niambiwe naonea walemavuDogo utaumia nakuhurumia, unagusa batani chafu iliyoshindikana.
MumeoAmefanya nini?
Hamna wakenya ni ndugu zetu hatuwezi fikia huko.Nlijua hii scenario ya wale wanaharakati wa kenya ingefika mbali