Hakika Mkuu tumezeeka sasaHaaaa mzee mwenzangu kweli tumezeeka sasa😅😅😅
Haya leo nime kukasirisha tena 🤔KUna kipindi unanikeraa kuna kipindi huniboi
Sija zaliwa Leo, Soma uzi uelewe wewe haji manara wa jfHii nusu kaputi Intelligent businessman kumbe imezaliwa leo? Basi ndio maana jua halijatoka leo.
Hbd kwenu nyote, muishi sana wakuu.
Hatari Sana Babu 😁😁😁Hakika Mkuu tumezeeka sasa
Miaka miwili iliyopita nilipojaribu kukimbia ili niendane sawa na Vijana nikajikuta nimeishia safari moja tu
Hata baada ya kuimbiwa na Mic ndiyo kwanza nikalala jumla 😜🙌
Kweli tumezeeka 🤗
Unasema labda itakuwa Pressure/Kisukari, kupima holaHatari Sana Babu 😁😁😁
TawireAsante sana mkuu ubarikiwe
Umezaliwa tarehe kama ya leo ewe nusu kaputiSija zaliwa Leo, Soma uzi uelewe wewe haji manara wa jf
Leo sijakata keki babu uchumi umekuwa mgumu, nasubiri kaka yangu Intelligent businessman anifanyie suprise tukate pamojaAamiin Mjukuu 🙏🙏
Japo nina mapengo mdomoni, nitafurahi ukinionjesha hiyo cake ya birthday 😜
Hakika tumezeeka, hata kutoa na kujumlisha shida!😃Asante sana mkuu. Ila wa 2005 sio anakuwa na 20 yrs au ndio nimezeeka mno 😀😀😀
Asante sana kwa wishes na ushauri mkuu.....umepokelewa 🙏🙏Hongera Sana kwakuwa umefika ghorofa ya 3
Afya ya akili na mwili uvipe kipaumbile
Kula balance diet.
Punguza mtungi na ikiwa hautumii usitumie in ur lifetime
Sigara and weed abstain
Junk food ukiweza acha au punguza.
Pia sex control hapo sex kwa KE inawazeesha na kwa ME inaua.