mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,304
- 72,055
Hongera sana trudie Mimi na Intelligent businessman tunajichanga hapa tukupe kazawadi😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kuna mambo unatakiwa unipe pole.
IDs zote zipo kazini leo?🤔🤔😁Dah umeandika kwa uchungu sana 🤔
Sitaki kupigwa mawe na Chizi Maarifa maana nimehamia nyumba yenye vioo 🤪Unaniangusha mzee mwenzangu nenda pm omba no tuma muamala
Akichelewa kutuma nitatuma Mimi@Intelligent businessman nasubiri muamala wa keki na lunch hadi dinner on you![]()
Yangu Dec uko mzee mwenzangu Mungu azidi kitupa uhaiSitaki kupigwa mawe na Chizi Maarifa maana nimehamia nyumba yenye vioo
Nasubiria yako Mzee mwenzangu, this time Keki itatoka Dubai![]()
kwahiyo utaileta kutoka DubaiNyie mna raha sana, yaani unazaliwa mwezi mmoja na Yesu Kristo 👏👏Yangu Dec uko mzee mwenzangu Mungu azidi kitupa uhaikwahiyo utaileta kutoka Dubai
Kashanichelwesha hapa nasubiri dinner tuu sijui kaenda wapi Intelligent businessmanAkichelewa kutuma nitatuma Mimi
🤣🤣🤣🤣Sitaki kupigwa mawe na Chizi Maarifa maana nimehamia nyumba yenye vioo 🤪
Nasubiria yako Mzee mwenzangu, this time Keki itatoka Dubai 🤗🏃🏃
Amen 🙏Thank you alot ubarikiwe, namba inakuja nijipatie kifurushi changu![]()
😅😅😅🤣🤣🤣🤣
Hahahhah nipo nasubiri kwa hamuNyie mna raha sana, yaani unazaliwa mwezi mmoja na Yesu Kristo
Of course, itatoka Dubai. DHL watakuletea hadi uwanjani![]()
kiukweli tuna raha tuliozaliwa DecItakulazimu uwaalike majirani zako wote kuimaliza hiyo keki, maana nimeagiza kulingana na urefu wako, imagine ulivyo tolu vile 🤪🏃🏃Hahahhah nipo nasubiri kwa hamukiukweli tuna raha tuliozaliwa Dec