ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,740
- 42,168
- Thread starter
- #61
Nitaingia kwenye mfungo tatu kavu nakuombea uwe mtulivu babesi ndio😅😅😅😅 naachaje kwa mfano
Nitaingia kwenye mfungo tatu kavu nakuombea uwe mtulivu babesi ndio😅😅😅😅 naachaje kwa mfano
vizuri nitakutumia badae ila pangilia ratiba yako kabisa, party yetu ni kuanzia saa 2 usikuahsante sana,nimekaribia ,nipe location, nibebe na zawadi kabisa
hahahahahaha,dahIla win-one cha fujo hakika sitakusamehe kamwe,ulikuwa unaniita shem,kumbe bwana mi shem wa mchongo halafu mzigo wanamiliki wengine,,yani nimelia sanaaaaa🤣🤣🤣
Hongera Sana,miaka mingapi:ShesRise?Heri ya mwaka mpya kwangu. ❤️
Huu ni mwaka mwingine kwenye maisha yangu 🤗
Katika mwaka huu mpya, nazika ya kale yasiyo na manufaa
Nikibeba tu mafunzo yaliyonijenga
Sitaki tena kubeba maumivu ya yaliyopita wala kujilaumu kwa mambo ambayo tayari yamepita
Nataka kuishi sasa, kuchukua hatua sasa na kujijengea maisha ninayoyataka
Naingia kwenye mwaka huu nikitambua kuwa THAMANI yangu ni KUBWA NDIYO KUBWA
Sitapoteza nguvu zangu kwa mambo yanayojaribu kuninyong’onyeza au kunifanya nijione mdogo
Nitajikita kwenye ukuaji wangu, amani yangu na watu wanaonithamini !!
Nasafisha moyo wangu na kuanza upya
Mwaka huu nachagua mimi
Nachagua amani yangu
Nachagua ukuaji wangu
Nachagua watu wanaonithamini
Nainuka
Ninakua
Ninashinda
Ninakuwa kila kitu ninachotamani kuwa 👑✨
Happy birthday ShesRise_1 🎂♍️❤️✨ 28.8.199!
Happy birthday to myself ♥️
Bando ngazi chache nitaingia 30Hongera Sana,miaka mingapi:ShesRise?
lakini mi sitaki kuwa mtulivu kabisa, nahisi nitakonda😅😅😅Nitaingia kwenye mfungo tatu kavu nakuombea uwe mtulivu babe
Hongera sana kwa siku ya kuzaliwa,ila nakukumbusha tu huwezi kujingenga na historia yako, huwezi kufuta kumbukumbu za jana kwenye ufahamu wako,akili na ufahamu haifuti kumbukumbu kirahisi.Heri ya mwaka mpya kwangu. ❤️
Huu ni mwaka mwingine kwenye maisha yangu 🤗
Katika mwaka huu mpya, nazika ya kale yasiyo na manufaa
Nikibeba tu mafunzo yaliyonijenga
Sitaki tena kubeba maumivu ya yaliyopita wala kujilaumu kwa mambo ambayo tayari yamepita
Nataka kuishi sasa, kuchukua hatua sasa na kujijengea maisha ninayoyataka
Naingia kwenye mwaka huu nikitambua kuwa THAMANI yangu ni KUBWA NDIYO KUBWA
Sitapoteza nguvu zangu kwa mambo yanayojaribu kuninyong’onyeza au kunifanya nijione mdogo
Nitajikita kwenye ukuaji wangu, amani yangu na watu wanaonithamini !!
Nasafisha moyo wangu na kuanza upya
Mwaka huu nachagua mimi
Nachagua amani yangu
Nachagua ukuaji wangu
Nachagua watu wanaonithamini
Nainuka
Ninakua
Ninashinda
Ninakuwa kila kitu ninachotamani kuwa 👑✨
Happy birthday ShesRise_1 🎂♍️❤️✨ 28.8.199!
Happy birthday to myself ♥️
Sawa mahi🤗lakini mi sitaki kuwa mtulivu kabisa, nahisi nitakonda😅😅😅
Tuandae pampers za baby TOUkorofi utaacha lini mahi😅🤣
Hiyo twin yake vipiii!! Ili nikusamehe,niombe radhi kwa maandishi yawe bold kama hivi vinginevyo sitakusamehehapana shemu ni wew pekeako, huyo ni twin ake hakuna chochote kinacho endelea walah vile😎😎
haya badae kidogo ngoja nimalizie kazi flani hapa,,Sawa mahi🤗
ni twin yaan pacha ake ila sio wa ubavu😅😅😅Hiyo twin yake vipiii!! Ili nikusamehe,niombe radhi kwa maandishi yawe bold kama hivi vinginevyo sitakusamehe
Kufuta kumbukumbu haina maana nafuta kama vile navyofuta rangi ya chokaa ubaoniHongera sana kwa siku ya kuzaliwa,ila nakukumbusha tu huwezi kujingenga na historia yako, huwezi kufuta kumbukumbu za jana kwenye ufahamu wako,akili na ufahamu haifuti kumbukumbu kirahisi.
Hongera tena...jana ni bora kuliko, na leo ni bora kuliko kesho.
Narudia tena unitake radhi hata kama sio hapa basi kule kilingeni ulikoanzia kuniita shem wa mchongo🤣🤣ni twin yaan pacha ake ila sio wa ubavu😅😅😅
Dah 🤣 andaa dear 😊Tuandae pampers za baby TO
Shukran dada mkubwa 🤗Happy birthday mrembo,, kila la heri kwenye maisha yako na ishi usisahau kuishi.
Asantee bi mzurii wangu 🤗Heri ya kuzaliwa mdogo wangu mzuri 🥰
Uishi miaka mingi, mazuri yote yaje kwako IJN.