ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,749
- 42,228
- Thread starter
- #281
Njoo Morocco utakuta nimesimama usawa kama naenda ubalozi wa marekani🤣birthday girl kama uko dar nipe ratiba yako na location.leo jmosi upate lunch au dinner
Njoo Morocco utakuta nimesimama usawa kama naenda ubalozi wa marekani🤣birthday girl kama uko dar nipe ratiba yako na location.leo jmosi upate lunch au dinner
chochote achague birthday girl au mchagulieKula wali?
hahahahaha, mie niko hapa KIng jada hotel, morocco square,sogeaNjoo Morocco utakuta nimesimama usawa kama naenda ubalozi wa marekani🤣
Bora umtumie muamala na ya kutolea!chochote achague birthday girl au mchagulie
duh,hii special lunch au dinner na maongezi kdg ,kama ana mlinzi hata wa kiume aje nae kama anaogopa,hela hela haitumwiBora umtumie muamala na ya kutolea!
Au unataka kumuona?
Chaihahahahaha, mie niko hapa KIng jada hotel, morocco square,sogea
Sasa ungesema bday girl njoo nikuone sio unaingia na gia ya lunchduh,hii special lunch au dinner na maongezi kdg ,kama ana mlinzi hata wa kiume aje nae kama anaogopa,hela hela haitumwi
unataka breakfast ,njoo king jada hapa ,acha uogaChai
doh hayaSasa ungesema bday girl njoo nikuone sio unaingia na gia ya lunch
gia gia tuSasa ungesema bday girl njoo nikuone sio unaingia na gia ya lunch
Shukran sana 🙏unataka breakfast ,njoo king jada hapa ,acha uoga
Asante sanaKila la kheri kwako mwanadada
leta namba au lipa namba uokote ,hata ya brutaly kadhaaShukran sana 🙏
Sawa mkuuleta namba au lipa namba uokote ,hata ya brutaly kadhaa
jumamosi njemaSawa mkuu
Na kwako piajumamosi njema
Ulikua wapi na wewe 🤣🤣njoo unywe mbege hapa kwa kimario
Wacha wee 😀🔥🔥🔥Nataka nikupeleke spain kwenye birthday yako😎😎