Happy birthday to me ShesRise_1 ♥️

Happy birthday to me ShesRise_1 ♥️

Heri ya mwaka mpya kwangu. ❤️

Huu ni mwaka mwingine kwenye maisha yangu 🤗

Katika mwaka huu mpya, nazika ya kale yasiyo na manufaa
Nikibeba tu mafunzo yaliyonijenga

Sitaki tena kubeba maumivu ya yaliyopita wala kujilaumu kwa mambo ambayo tayari yamepita
Nataka kuishi sasa, kuchukua hatua sasa na kujijengea maisha ninayoyataka

Naingia kwenye mwaka huu nikitambua kuwa THAMANI yangu ni KUBWA NDIYO KUBWA

Sitapoteza nguvu zangu kwa mambo yanayojaribu kuninyong’onyeza au kunifanya nijione mdogo
Nitajikita kwenye ukuaji wangu, amani yangu na watu wanaonithamini !!

Nasafisha moyo wangu na kuanza upya

Mwaka huu nachagua mimi
Nachagua amani yangu
Nachagua ukuaji wangu
Nachagua watu wanaonithamini

Nainuka
Ninakua
Ninashinda
Ninakuwa kila kitu ninachotamani kuwa 👑✨

Happy birthday ShesRise_1 🎂♍️❤️✨ 28.8.199!
Happy birthday to myself ♥️
Maisha marefu kwako
 
Kama umevaa dera kaa back bench lakini kama umevaa outfit 👌 sogea high table na vurugu uache, humu hakuna Chapati na maharage usitie aibu tu
akuuuu mwenzangu hiyo high table natafuta nini wakati nimetupia mdera wenye mpasuo mpka kunako😜, najisimamia zangu hapa karibu na mlangoni mpka mda wa chakula nijibebee vipaja nikafanye mboga💃😉
 
Bora kusiwe na wakili. Ata haribu kesi
Yaani aibu sana hii serikali na watumishi wao. Profesa Musa Assad alishasema asilimia 60 ya watumishi wa umma hawana sifa za kufanya kazi serikali.

Aliyekuwa Waziri wa Utumishi Simbachawene alisema asilimia 40 ya watumishi wa umma ni mizigo ndio kama huyu Wakili 😅😅😅
 
Yaani aibu sana hii serikali na watumishi wao. Profesa Musa Assad alishasema asilimia 60 ya watumishi wa umma hawana sifa za kufanya kazi serikali.

Aliyekuwa Waziri wa Utumishi Simbachawene alisema asilimia 40 ya watumishi wa umma ni mizigo ndio kama huyu Wakili 😅😅😅
Na serikali inakumbatia watu wa kariba hiyo ili waweze kuwa under control. Kuna kesi nadhani mawakili wa TLS wamefungua kupinga mawakili wasio na vigezo kuwepo kwenye mfumo. Ushahidi upo nje nje kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom