sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,967
- 8,454
Sante Rejao. Karibu sana.Happy Birthfay...
Sante Rejao. Karibu sana.Happy Birthfay...
Sante KJ. Hope utakuja tusherehekee pamoja...lolHongera swtl.
Happy Birthday Sweet lady
Sante sana mpendwa BW. Naimani tuko pamoja..Hongera kwa siku ya kuzaliwa SL
Sweetlady hebu msome hommie hapa afu niambie kama ntapewa kadi ya mwaliko nianze kufakamia mandimu huku.........Hommie unataka BAN ili ukwepe kuwatendea haki TBL baadaye jioni? Shemejio leo kaamua kabisa lazima mtu afleti
Thanks a lot Preta...be blessed.
Umejibu vizuri mkuu! Sina mashaka juu ya kiwango chako cha elimu.
Lol...inamana bado hujaanza kunywa juice ya ndimu?..khaa utamwangusha hommie na shemejio AD... Wapo busy wanaandaa kwaajil ya wageni waalikwa wewe ukiwa mmoja wao....Sweetlady hebu msome hommie hapa afu niambie kama ntapewa kadi ya mwaliko nianze kufakamia mandimu huku.........
ODM hapa huwa hatujibu kwa maslahi ya chama...ukija kwenye party bdae utakuta imeandikwa juu ya keki, hakikisha hukosi...Lets wait and see..........hili swali huwa halijibiwagi. Sijui kwanini.
ODM hapa huwa hatujibu kwa maslahi ya chama...ukija kwenye party bdae utakuta imeandikwa juu ya keki, hakikisha hukosi...
Nakupendea kitu kimoja tu Kaizer, 'unanijali sana' hope you know what i mean...sio lazima nifafanue...Usijali SL....nitahakikisha amefika.....kuna bajaji nimemtumia aje nayo fasta
happy Birth day sweetlady.
sl samahani kwa kumwaga radhi mapema mapemathank you very much katavi. Your warmly welcome!
Thanks mpendwa. Karibu sana....Happy birthdate sweety lady.....my!
Lol... Usijali mpendwa!...uwe makini sana manake The Finest akikuona utasababisha akunyime kinywaji baadae!sl samahani kwa kumwaga radhi mapema mapema
Lol... Usijali mpendwa!...uwe makini sana manake The Finest akikuona utasababisha akunyime kinywaji baadae!
weee never sinyimwi kitu pale labda nikataelol... Usijali mpendwa!...uwe makini sana manake the finest akikuona utasababisha akunyime kinywaji baadae!