...Ni kwa sababu ya kujengeka kwa mahusiano mazuri between Members wa JF (Baadhi, ukipenda).
Kuna watu humu ni zaidi ya Marafiki, wanawasiliana nje ya humu Jamvini, wanatembeleana makwao, wanakutana sehemu za Burudani na kubadilishana mawazo, Wanashiriki misiba.
hayo hapo juu inapelekea pia kujua tarehe za kuzaliwa kati yao.
Tafakari, Chukua Hatua.
kweli nimeamini wewe ni kilaza kila kitu unapenda kuona watu wako opposite birhday tu ? Watu humu wanajuana live wanajuana na baba na mama zao watoto wanakoishi kila kitu sio hata issue za birthday tu.kama unadhani watu wako kifeki hapa wewe ndo feki tuhivi mtu anawezaje kujua kuwa leo ni siku ya kuzaliwa ya mtu mwingine wakati humu tunaingia na fake ids?
kweli nimeamini wewe ni kilaza kila kitu unapenda kuona watu wako opposite birhday tu ? Watu humu wanajuana live wanajuana na baba na mama zao watoto wanakoishi kila kitu sio hata issue za birthday tu.kama unadhani watu wako kifeki hapa wewe ndo feki tu
brainless man mba -mshanaona umejibu kishangingi zaidi.
Hommie, kwa mantiki hii kuna kila sababu ya kuchukua sick sheet, siyo?......Alafu hii sredi kuanzishwa na Shem wangu, natamani nikonekti dhem dots.........!HAppy Birthday SL
Uwe na uhakika tu Mi na sweetie tuko very busy kukuandalia whatever you wished for
Ila juzi kwen Bday ya Kivumah kuna watu walilewa kipita kiasi, hivyo AD inabidi tuwe na kamati ya vinywaji nyingine kweny hii ya SL,,,sipendi kuwataja hapa kwa ajili ya usalama wao
Natanguliza kukutakia kila la heri kwenye hii siku yako na siku zijazo mbeleni. Zingatia alichosema Hommie mwenzangu, MOD wa majukwaa yote, kiongozi mwenzangu wa ISC kuhusu namna ya kuishi mwenyewe na watoto wako uli/takaojaaliwa.
Mungu akubariki sana na tuonane baadaye. Miss you.
brainless man mba -msha
Lol.... Nimeishiwa na chakusema! Sante sana wifi yangu mpenzi Ad... Mungu akubariki sana, sana. I love you so much! Mwaaaaaah 2u!Hii hutokea mara moja kwa mwaka dear...
Hivi I am hoping kua as much as it is a Monday baada ya kazi utabwaga
kazi chini na kurusha mikono juu ukibanjuka tu.... I am happy kua hapa JF we are
relatives for you are One of my best Wifi's to my very polite brother...
Sweet Lady may this special day to you be as
Sweet as Your name and as Sweet
as your banter in the posts....
😛oa ...HAPPY SWEET BIRTHDAY DEAR... 😛oa
N:B Menu uloagiza ni kubwa mno... Hivo nakuacha kidogo hapa
nikaandae hio buffet.... Will see you badae dear...
sidhani kama kuna mwanamke anaeweza kujitongozesha kwa nusu mwanaume i mean mwanaume suruali tunapenda wanawake lakini sipendi wanawake wanaojitongozesha.
Thanx a lot dear....be blessed... Ujiandae, nakupitia twende kwa your dada, huko ndo shughuli nzima itafanyika. Love you!
Wifi kutokana na sababu za kiitelejensia imebidi ur kaka abadili Id. Maelezo zaidi tukikutana bdae!Alafu Sweetlady mbona sijamuelewa kakangu?? Kwanini kabadilisha from Sangara to Vin Diesel??
Thanx sana B. Hapo red usijali, patatolewa ufafanuzi bdae. Wacha my lovely wifi AD amalize kuniandalia mahanjumati! Karibu sana mpendwa!Happy Birthday Sweet Lady
ILA HAPO RED SIJAELEWA MY LOVELY SIS ASHA DIIIII
Hivi mtu anawezaje kujua kuwa leo ni siku ya kuzaliwa ya mtu mwingine wakati humu tunaingia na fake IDs?
kweli nimeamini wewe ni kilaza kila kitu unapenda kuona watu wako opposite birhday tu ? Watu humu wanajuana live wanajuana na baba na mama zao watoto wanakoishi kila kitu sio hata issue za birthday tu.kama unadhani watu wako kifeki hapa wewe ndo feki tu
brainless man mba -msha
Napenda wanawake lakini sipendi wanawake wanaojitongozesha.
Guys! Our new born baby girl is still asleep! ..............Stop this........pliiiiiiis!sidhani kama kuna mwanamke anaeweza kujitongozesha kwa nusu mwanaume i mean mwanaume suruali tu
we usualy look and admire real men
Lets wait and see..........hili swali huwa halijibiwagi. Sijui kwanini.
Hahaha..thenkyuusidhani kama kuna mwanamke anaeweza kujitongozesha kwa nusu mwanaume i mean mwanaume suruali tu
we usualy look and admire real men
kweli babu ni kwa heshima yako na sl mwenyewe ngoja niachane na huyo kilazaguys! Our new born baby girl is still asleep! ..............stop this........pliiiiiiis!
Thanx sana bro PJ. Ngoja niwasiliane na kamati kuu afu ntakujibu.. Sante na ubarikiwe sana.Happy Birthday SL!
Sa jioni vp tukae kama kamati pale Cet Gardern, maana ni jirani na kwako!
Hommie, kwa mantiki hii kuna kila sababu ya kuchukua sick sheet, siyo?......Alafu hii sredi kuanzishwa na Shem wangu, natamani nikonekti dhem dots.........!