>*<>*<> Happy Birthday Sweet Lady <>*<>*<

>*<>*<> Happy Birthday Sweet Lady <>*<>*<

...Ni kwa sababu ya kujengeka kwa mahusiano mazuri between Members wa JF (Baadhi, ukipenda).
Kuna watu humu ni zaidi ya Marafiki, wanawasiliana nje ya humu Jamvini, wanatembeleana makwao, wanakutana sehemu za Burudani na kubadilishana mawazo, Wanashiriki misiba.
hayo hapo juu inapelekea pia kujua tarehe za kuzaliwa kati yao.
Tafakari, Chukua Hatua.

Umejibu vizuri mkuu! Sina mashaka juu ya kiwango chako cha elimu.
 
hivi mtu anawezaje kujua kuwa leo ni siku ya kuzaliwa ya mtu mwingine wakati humu tunaingia na fake ids?
kweli nimeamini wewe ni kilaza kila kitu unapenda kuona watu wako opposite birhday tu ? Watu humu wanajuana live wanajuana na baba na mama zao watoto wanakoishi kila kitu sio hata issue za birthday tu.kama unadhani watu wako kifeki hapa wewe ndo feki tu
 
HAppy Birthday SL

Uwe na uhakika tu Mi na sweetie tuko very busy kukuandalia whatever you wished for

Ila juzi kwen Bday ya Kivumah kuna watu walilewa kipita kiasi, hivyo AD inabidi tuwe na kamati ya vinywaji nyingine kweny hii ya SL,,,sipendi kuwataja hapa kwa ajili ya usalama wao

Natanguliza kukutakia kila la heri kwenye hii siku yako na siku zijazo mbeleni. Zingatia alichosema Hommie mwenzangu, MOD wa majukwaa yote, kiongozi mwenzangu wa ISC kuhusu namna ya kuishi mwenyewe na watoto wako uli/takaojaaliwa.

Mungu akubariki sana na tuonane baadaye. Miss you.
 
kweli nimeamini wewe ni kilaza kila kitu unapenda kuona watu wako opposite birhday tu ? Watu humu wanajuana live wanajuana na baba na mama zao watoto wanakoishi kila kitu sio hata issue za birthday tu.kama unadhani watu wako kifeki hapa wewe ndo feki tu

Naona umejibu kishangingi zaidi.
 
HAppy Birthday SL

Uwe na uhakika tu Mi na sweetie tuko very busy kukuandalia whatever you wished for

Ila juzi kwen Bday ya Kivumah kuna watu walilewa kipita kiasi, hivyo AD inabidi tuwe na kamati ya vinywaji nyingine kweny hii ya SL,,,sipendi kuwataja hapa kwa ajili ya usalama wao

Natanguliza kukutakia kila la heri kwenye hii siku yako na siku zijazo mbeleni. Zingatia alichosema Hommie mwenzangu, MOD wa majukwaa yote, kiongozi mwenzangu wa ISC kuhusu namna ya kuishi mwenyewe na watoto wako uli/takaojaaliwa.

Mungu akubariki sana na tuonane baadaye. Miss you.
Hommie, kwa mantiki hii kuna kila sababu ya kuchukua sick sheet, siyo?......Alafu hii sredi kuanzishwa na Shem wangu, natamani nikonekti dhem dots.........!
 
Hii hutokea mara moja kwa mwaka dear...

Hivi I am hoping kua as much as it is a Monday baada ya kazi utabwaga

kazi chini na kurusha mikono juu ukibanjuka tu.... I am happy kua hapa JF we are

relatives for you are One of my best Wifi's to my very polite brother...

Sweet Lady may this special day to you be as

Sweet as Your name and as Sweet

as your banter in the posts....


😛oa ...HAPPY SWEET BIRTHDAY DEAR... 😛oa



N:B Menu uloagiza ni kubwa mno... Hivo nakuacha kidogo hapa
nikaandae hio buffet.... Will see you badae dear...

Lol.... Nimeishiwa na chakusema! Sante sana wifi yangu mpenzi Ad... Mungu akubariki sana, sana. I love you so much! Mwaaaaaah 2u!
 
streamimage.aspx
Thanx a lot dear....be blessed... Ujiandae, nakupitia twende kwa your dada, huko ndo shughuli nzima itafanyika. Love you!
 
Happy Birthday Sweet Lady


ILA HAPO RED SIJAELEWA MY LOVELY SIS ASHA DIIIII
Thanx sana B. Hapo red usijali, patatolewa ufafanuzi bdae. Wacha my lovely wifi AD amalize kuniandalia mahanjumati! Karibu sana mpendwa!
 
Hivi mtu anawezaje kujua kuwa leo ni siku ya kuzaliwa ya mtu mwingine wakati humu tunaingia na fake IDs?

kweli nimeamini wewe ni kilaza kila kitu unapenda kuona watu wako opposite birhday tu ? Watu humu wanajuana live wanajuana na baba na mama zao watoto wanakoishi kila kitu sio hata issue za birthday tu.kama unadhani watu wako kifeki hapa wewe ndo feki tu

brainless man mba -msha

Napenda wanawake lakini sipendi wanawake wanaojitongozesha.

sidhani kama kuna mwanamke anaeweza kujitongozesha kwa nusu mwanaume i mean mwanaume suruali tu
we usualy look and admire real men
Guys! Our new born baby girl is still asleep! ..............Stop this........pliiiiiiis!
 
Happy Birthday SL!
Sa jioni vp tukae kama kamati pale Cet Gardern, maana ni jirani na kwako!
Thanx sana bro PJ. Ngoja niwasiliane na kamati kuu afu ntakujibu.. Sante na ubarikiwe sana.
 
Hommie, kwa mantiki hii kuna kila sababu ya kuchukua sick sheet, siyo?......Alafu hii sredi kuanzishwa na Shem wangu, natamani nikonekti dhem dots.........!

Hommie chukua sick sheet kama kawa....kisha hapo kwen bold.....asee inabidi 'tujipange sawasawa'...umeona eeh..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom