Happy birthday Smart911

Happy birthday Smart911

Ni hapo mimi nikimpenda mtu hapa ,najaribu huko PM akinibwaga basi kila uzi nitakopomkuta hakuna kukomenti wala kulike asije akanishuhsia kaheshima kangu kaliko baki
Haha

Komaa fukuzia ivoivooo kibishi mzeyy unakataje tamaa kirahisi hivooo!!!

Mimi Smart enzi ananifukuzia tulipigana sio kidogooo . Nilimpiga hadi mangumi hakukoma☺☺
 
Haha

Komaa fukuzia ivoivooo kibishi mzeyy unakataje tamaa kirahisi hivooo!!!

Mimi Smart enzi ananifukuzia tulipigana sio kidogooo . Nilimpiga hadi mangumi hakukoma☺☺
Mh zamani watu mlikuwa wastaarabu ila siku hizi ukijimix vibaya ,utakuwa bize na tushuguli twa serikali ,siku umesema wacha nipumzike niingie JF kidogo unakuta kapicha kako na kauzi ka onyo kenye maneno ya udhalilishaji kwa lugha ya malkia ati "CLOSED LETTER TO YOU MENEMENE TEKERI NA PERESI "

Ni hapo utaona mwenzenu sionekani tena ,mnauliza yu wapi rafiki yetu kumbe nilidhalilishwa ikabidi niiweke akaunti kando .

Kwa haujayaona hayo ? Mpaka wengine wamejaaliwa tuelimu tuzuri ila wamelimbia na maarifa yao baada ya mapenzi kuwadrive kwenye aibu
 
Alipata kusema Ruge iogope teknolojia na Mungu .
Picha zipo nasubiri siku tukutane kwenye ulanzi kama sio matai kijijini kwao basi kwa nduguze mbeya nimuoneshe kapicha kuwa braza shida iko wapi kwenye haka kapicha ?
Kumbe kwao ni mbeya halafu anakuja kutamba kwenye jiji la wenyewe! hahaa huenda hatofika kwenye ulanzi tumpe muda!
 
Hii ni mbaya umenifundisha kitu sitaenda kukaa kwa mtu zaidi ya siku mbili! 😆
Hapana unaenda ila unacheza kimaster usibebe begi la nguo ,wewe kila ukienda acha kanga ,mara suruali yaani akijakustuka nguo zako zote ziko kwake .

Ni hapo unasema tuoane bwana mnaoana ila akileta za kuleta unakusanya tunguo twako unalala mbele ili ukajianze upya kwenye mapenzi .

Japo unajua hili life hata wanaume baadhi wanapitia life la hivi hasa wenye kupenda mishangazi
 
Mh zamani watu mlikuwa wastaarabu ila siku hizi ukijimix vibaya ,utakuwa bize na tushuguli twa serikali ,siku umesema wacha nipumzike niingie JF kidogo unakuta kapicha kako na kauzi ka onyo kenye maneno ya udhalilishaji kwa lugha ya malkia ati "CLOSED LETTER TO YOU MENEMENE TEKERI NA PERESI "

Ni hapo utaona mwenzenu sionekani tena ,mnauliza yu wapi rafiki yetu kumbe nilidhalilishwa ikabidi niiweke akaunti kando .

Kwa haujayaona hayo ? Mpaka wengine wamejaaliwa tuelimu tuzuri ila wamelimbia na maarifa yao baada ya mapenzi kuwadrive kwenye aibu
Weeee si zamani si saivi ful vurugumechiii... yaniii hayanaga mwongozo. Hasa sisi wa zamaki a.k.a the aunties ukute Smart kakutana na vi gen z huko fahari ya macho alooooooooooooooooooo!!!!!!!!!! 😊

Ukikutana na onyo pita vileeee as sio shida kabisa. Wee komaa na mywako tu wenye husda watajua wenyewe na mabango yao.
 
Hapana unaenda ila unacheza kimaster usibebe begi la nguo ,wewe kila ukienda acha kanga ,mara suruali yaani akijakustuka nguo zako zote ziko kwake .
Ahh we! na kwangu namuchia nani? kila mtu akae kwake tu! 😅
Ni hapo unasema tuoane bwana mnaoana ila akileta za kuleta unakusanya tunguo twako unalala mbele ili ukajianze upya kwenye mapenzi .
Annhh huo uchiz sifanyi,aibu gani hii, kukaa nazunguka na mabegi nyoooh!😂😂
Japo unajua hili life hata wanaume baadhi wanapitia life la hivi hasa wenye kupenda mishangazi
Hahahahhaah wapuuzi, kila mtu atafute chake kwanza, kupunguza kudharauliana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom