Happy birthday Smart911

Happy birthday Smart911

Akusikie uone kama haujalikimbia jiji .
Yanii hanipati ng'oo! ๐Ÿ˜‚
Nikamkumbuka dogo mmoja wa mjini kati mbeya alimtongoza mdogo wake kipindi hiko kaka ni RC ,saa ngapi mwamba asinyee ndoo huko gereza la ilembo kila akiulizwa babu vipi wewe kuwepo hapa anasema nyege kaka ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mimi mfupi kama yeye ila madoa sina na akili nahisi zangu ziko timamu kabisa
Jitahidi usizimie tu sigara kwenye ualaza! tutashindwa kuwatofautisha! utimamu anao ni kujichetua tu, na zile dharau anatukataa tunaomiliki corolla eti tunaichafua dar!
 

Attachments

  • Screenshot_20260715_105023_Chrome.jpg
    Screenshot_20260715_105023_Chrome.jpg
    354.8 KB · Views: 7
Yanii hanipati ng'oo! ๐Ÿ˜‚

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Jitahidi usizimie tu sigara kwenye ualaza! tutashindwa kuwatofautisha! utimamu anao ni kujichetua tu, na zile dharau anatukataa tunaomiliki corolla eti tunaichafua dar!
Na vita yangu na yeye ilianzia kwenye corolla ,sababu kabla tulimingle vizuri mno
Kichekesho ashapanda sana hizo corolla kwa lift ila anajichetua tu
 

Attachments

  • 20260218_122825.jpg
    20260218_122825.jpg
    346 KB · Views: 8
Na haya ndiyo maneno ambayo mwanaume yeyote akiambiwa kichwa chake hakiwezi kukaa sawa kwa wiki moja maana setting za kichwa zinatikisika ni maneno matamu ,makubwa ,yenye radha isiyomithirika .

Happy birthday Smart911 ila katunze hako kamama kama mboni yako aisee

Anyway mwanamke mmoja single atokee aseme maneno mazuri kuhusu mimi hata kwa kusifia umbo la mwili wangu huu wenye kitambi kikubwa ,uwalaza mpaka kisogoni na mfupi kama chalamila na mweupe kama Ally happi.
Smart911 point imewekwa kwenye jalada hiii
 
Mimi naanza kwa kuongoza msafara wao watakaokuja huko nyuma, napenda sana kitambi chako cha kufutia simu, usiwe tu na madoa kama ya chalamila utasema anazimiaga sigara usoni:PeepoRunCry::PeepoRunCry:
Mna dhambi nyie!!
Akusikie uone kama haujalikimbia jiji .
Nikamkumbuka dogo mmoja wa mjini kati mbeya alimtongoza mdogo wake kipindi hiko kaka ni RC ,saa ngapi mwamba asinyee ndoo huko gereza la ilembo kila akiulizwa babu vipi wewe kuwepo hapa anasema nyege kaka ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

Mimi mfupi kama yeye ila madoa sina na akili nahisi zangu ziko timamu kabisa
Mliona wapi tumbo lake lakini ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š!

Ukiingia 18 za wakubwa lazima wakuonyooshe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom