Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 28,416
- 82,284
Yanii hanipati ng'oo! ๐Akusikie uone kama haujalikimbia jiji .
๐๐๐๐๐Nikamkumbuka dogo mmoja wa mjini kati mbeya alimtongoza mdogo wake kipindi hiko kaka ni RC ,saa ngapi mwamba asinyee ndoo huko gereza la ilembo kila akiulizwa babu vipi wewe kuwepo hapa anasema nyege kaka ๐๐
Jitahidi usizimie tu sigara kwenye ualaza! tutashindwa kuwatofautisha! utimamu anao ni kujichetua tu, na zile dharau anatukataa tunaomiliki corolla eti tunaichafua dar!Mimi mfupi kama yeye ila madoa sina na akili nahisi zangu ziko timamu kabisa

