Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,080
- 136,553
herzlich wunchem um deine gerburtstag Roulette!
Una nini wewe? Kwanza naskia ushafilisika. Babu jinga wewe.
herzlich wunchem um deine gerburtstag Roulette!
Asante sana hun. I had a great day!Happy birthday dada yetu mpendwa
Thank you my dear... nimesoma kwa haraka haraka kua umemiss shem Kaizer... mwambie I miss him too.hapy birthday my dear Roulette
Thanks Chocs. I am touched you rememberedRoulette happy birthday
Mia imekua M.I.A. mbona umepotea? Thanks mkuu wanguHappy birthday mkuu. Mia
Labaik!Swahiba na rafiki wangu wa ukweli Roulette,
Bila samahani rafiki yangu wa ukwee, I receive birthday gifts and wished untill august 32nd 25:00 am.Najua nimechelewa kukutakia heri ya siku yako ya kuzaliwa.
Najua unajua kuwa halikuwa kusudio langu
ya kwanza nilikua najua, ya pili ndio nimejua leo. Naomba mama Matesha alitambue hilo piaNajua wajua kuwa nakupenda na kukuheshimu sana
Najua unafahamu kuwa we ni mtu muhimu sana ktk maisha yangu
Najua unajijua we ni mkarimu, mpole na mwenye moyo wa utu
Najua unajua kuwa maombi yangu kwa Mungu huwa yanasikilizwa
Ameen!Ndio maana namwomba Mwenyezi Mungu mwenye rehema
Akujalie afya njema,
ameenAkuepushe na mikosi, balaa na bahati mbaya
AmeenAkupe bahati nzuri daima
ameenAkuepushe na hatari zote
AmeenAkuongezee siku za kuishi kwako huku akikuepusha na dhambi
AmeenAkupe umri uwaone wajukuu wa wajukuu zako ili siku atakapokuita kwake mbinguni wajukuu zako wasilie bali wamshukuru Mungu kwa kuwapa bibi mwema.
Amina amina amina hadi mbingu la saba dua hii isikike na ipokelewe kwa mikono miwili na malaika muhusika, aifikishe ofisi kuu leo leo itiwe signature na mtendaji mkuu aanze kuifanyia kazi usiku huu huu (hasa hapo pa wajukuu, nianze kuwatafutia wazazi wao mapema inshallah)
Kabisa alter. I am so touched. Sikudhani kabisa kua mtakumbuka aisee. Last year snochet missed it and I teased him for a month! Lolsnochet, asante sana kwa salamu za Birthday... On behalf ya alter (hata kama kapita mwenyewe hapa) nafurahi kwa salamu zilizojaa upendo toka kwako na members wote waliotuma.
Hahahaha, yes I did have a blast (and continuing) na sinto sahau hii bd kamwe. Just this morning nilikua namhaditia King'asti celebrations zinavo endelea (kasema nisikupe detail yoyote leo) Mwanao kanitumia a drawing nimeitundika fb. Naomba ukatupie comment huko.Naomba nikiri kuwa Birthday gal regardless kuwa ni Ramadhani she had a blast na I guarantee it is one of the Birthdays she wont forget na nafurahi sana kuwa ilikua nzuri kwa kiwango alichoridhika nacho na zaidi ya alivyotegemea... :tongue:
King'asti ana case na mimi... Labda wewe utatusaidia hahaha! Anaenda shoppings za nguo everyday hadi ananifanya niwe jelas - so miwivu yake ni explanaible..Hahahaha, yes I did have a blast (and continuing) na sinto sahau hii bd kamwe. Just this morning nilikua namhaditia King'asti celebrations zinavo endelea (kasema nisikupe detail yoyote leo) Mwanao kanitumia a drawing nimeitundika fb. Naomba ukatupie comment huko.
Sijui kwanini nakuonea wivu hata kwa kaka zangu......
Wow....Go chairman....goooo!
Kuna haja ya kuiweka kwenye file hii makitu?
Huyo YNNAH ulivyompata kwa kulazimisha . . .
Bahati yako ya mtende kobe la usiku we!!
Ramadan Mubarak