Happy Birthday MWITA MARANYA

Happy Birthday MWITA MARANYA

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,432
Happy Birthday Mwita Maranya a.k.a baba yake mchumba wangu gfsonwin na mpendwa wangu wa moyo Zion Daughter.
Tunakutakia Mwita Maranya maisha marefu na yenye furaha, uendelee kukua huku ukimpendeza Mungu na wanadamu pia.
Ukawe na hekima zaidi ya ulizo nazo, ili hekima na busara zako zitumike kama gongo kwenye maporomoko, na tochi kwenye giza totoro.
Uishi miaka mingi mpaka ukitema mate yawe yanadunda kama kitenesi, na ukifunga macho kope zilie kama mtu kapiga makofi kwa ukubwa wa umri na ukomavu wako
 
Last edited by a moderator:
Mwita Maranya

HBB.png
 
Happy Birthday Mwita Maranya a.k.a baba yake mchumba wangu gfsonwin na mpendwa wangu wa moyo Zion Daughter.Tunakutakia Mwita Maranya maisha marefu na yenye furaha, uendelee kukua huku ukimpendeza Mungu na wanadamu pia.Ukawe na hekima zaidi ya ulizo nazo, ili hekima na busara zako zitumike kama gongo kwenye maporomoko, na tochi kwenye giza totoro.Uishi miaka mingi mpaka ukitema mate yawe yanadunda kama kitenesi, na ukifunga macho kope zilie kama mtu kapiga makofi kwa ukubwa wa umri na ukomavu wako
Leo kimenuka..hata hii sherehe iishie hapahapa..Kumbe my dady ana mtoto wa nje? gfsonwin??? dady come zis wey plzzz nahitaji maelezo..au gfsonwin ndo mtoto wa mwaJ ??
 
Last edited by a moderator:
Happy birthday Mwita Maranya aka Kamanda letu.


Mungu akupe maisha marefu yenye furaha, amani na upendo!


Ujumbe: Hakuna kulala mpaka kieleweke.
 
Last edited by a moderator:
Happy Birthday Mwita Maranya a.k.a baba yake mchumba wangu gfsonwin na mpendwa wangu wa moyo Zion Daughter.
Tunakutakia Mwita Maranya maisha marefu na yenye furaha, uendelee kukua huku ukimpendeza Mungu na wanadamu pia.
Ukawe na hekima zaidi ya ulizo nazo, ili hekima na busara zako zitumike kama gongo kwenye maporomoko, na tochi kwenye giza totoro.
Uishi miaka mingi mpaka ukitema mate yawe yanadunda kama kitenesi, na ukifunga macho kope zilie kama mtu kapiga makofi kwa ukubwa wa umri na ukomavu wako

khaaa! jamani hii kali hivi kumbe nachumbiwa pasi kujua??

wewe baba yangu Mwita Maranya umekula mahari sio?? BTW happy birthday swt dad na mungu akupe maisha marefu yanye neema tele.
 
Last edited by a moderator:
Taata Mura! Happy Birthday man! Make sure unaniandikia urisi kabisa kwa kuwa ndoto aliyokuota leo yule muotaji maarufu wa CC, una miaka 90 tu iliyobaki uishi then utakufa hakyamungu!! So please kindly niandikie urithi. HBD KAMANDA!! Hadi kieleweke!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom